Sasa naona ulikurupuka kusoma post ya mwenzio... Ebu soma upya mwenzio aliomba laki 5 ya kazi gani. Naona wewe ndo utakuja kumtapeli mteja kwa kujifanya utafanya BILA MALIPO.
Unamzibia mwenzako riziki kwa hoja nyepesi sana. Kama hujawahi kusikia, je wewe DOMAIN UTAIPATA BURE? HOSTING JE? Viewers wa kukidhi vigezo vya Google adsense utawapata kwa kutumia bando lako binafsi?
Kwa kifupi, kwa kutaja laki 5 kwa kila kitu ameonesha anavyoijua kazi yake
Na wewe inaonekana...
Hoja yako ni ukaribu... Na umesema, "Kwanini wasiifanye wilaya ya Kibaha kuwa ndani ya Dar es Salaam ili watu wasambae kujenga huko?" Hoja yako hujaijenga vizuri...
Baada ya hapo, Morogoro pia itakuwa jirani na Dar, hivyo Moro ihamishiwe Dar. Kisha, Dodoma itakuwa jirani na Dar, nayo Dodoma ihamishiwe Dar, hivyo hivyo, Singida, Iringa na kwingineko.
Kwa lugha rahisi, Tanzania/Afrika yote iitwe "Daslam"
Kinachosumbua hapa ni lugha... Maelezo yako hayaoneshi kushindwa kwa Mungu. Na kung'ang'ania au kushinda kwa mwanadamu hakumaanishi kushindwa kwa Mungu. Kushindwa kunakomaanishwa hapa ni KUSHINDA MTIHANI... Ili unielewe vema, chukulia unapofaulu mtihani inamaanisha kushindwa kwa mtunga/mtoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.