Recent content by BARAFU MOTO

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ded-Kilindi Tanga amnyanyasa mwalimu mpaka aache kazi?Mh.Waziri mkuu ingilia kati suala hili.

    Mwalimu mwenye mgogoro na mwajiri bado anajitolea laki tano kununua zana halafu anamshawishi RC kujenga nyumba za walimu?Rc katoa wapi hela?
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Jenga hoja kwa misingi ya kisiasa au kisheria
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Mbona sijasikia wa cocaine wakinyeshewa mvua kama hawa wa bangi?
  4. B

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar ni washamba

    Mbona mleta uzi anashambuliwa binafsi badala ya kujibu hoja zake,je ni kweli ni wavivu,wapiga soga,wachafu,wapenda dezo
  5. B

    JamiiForums Tanzania Dunia inapaswa kumuelewa Mchina anapokuwa anapambana na Marekani na hata kumuunga mkono

    Wote wajinga wametanguliza maslahi binafsi kuangamiza dunia,huyo mchina nae mnyonyaji tu wa aAfrika kupitia mikataba ya hovyo yeye kwake maslahi kwanza,Marekani anavunja amani dunia ingawa kuna wakati anaisaidia Afrika ktk miradi ya kijamii,utawala bora na haki binadamu,mchina yeye kafanya dampo...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Uchafu mijini ni sera ya CCM isiyoandikwa popote.

    Umesema ukweli,hii dhana ya wapiga kura wangu/wetu imesababisha watendaji kushindwa kusimamia sheria ipasavyo kuna Dc sehemu alipambana kudhibiti uvuvi haramu alipata tabu tena alikwamishwa na chama chake kwa kuambiwa hiyo siyo sera ya ......Tutkuondosha hapa,matokeo ya kuchanganya siasa na...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Odero: Heche hutaki maridhiano, acha kusingizia Lissu kuwa huru

    Odera kwani hakusikia kauli ya Lisu au tenda yake ni kushughulika na heche kwa kujifanya anampenda Lisu anyway hii pia fursa kama ilivyo biashara ya majeneza
  8. B

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Kwanza tuambie muhutasari wa ukoo halali ulikuwa na rosario gani mpaka Hakimu haukatae,pili muhutasari uliofojiwa una mabadiliko gani ambayo wewe na wana ukoo wenzio hamkubaliani nao,au mlijigawia mali za marehemu
  9. B

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Wajinga ndo waliwao,siku hizi mchumba hasomeshwi,hakuna kujenga ukweni au kiwanja cha mke labda kama tayari mna watoto,ushauri wauze nyumba wagawane maprosoo au kwa hasira abomoe
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo, iwe ni Marufuku kwa CHADEMA /Wanaharakati kumzungumzia Mbowe, kumzungumzia ni kumfanya aonekane ana umuhimu

    Wataalam wa saikolojia watusaidie kwa nini mbowe anapondwa na wapinzani wenzie halafu anatetewa na waliompa kesi ya ugaidi
  11. B

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hacha taharuki tutakuunganisha na jarida la mwana halisi
  12. B

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Wasomi ni wengi kuliko nafasi za ajira hivyo tunatumia interview na vigezo vingine vidogovidogo kupunguza jam,jitahidi kujali vigezo na masharti haiba inasema vingi juu yako kuliko hiyo manila kadi(cheti)
  13. B

    JamiiForums Tanzania Zambia: Mahakama zafungwa ghafla siku ya mwisho ya aliyekuwa Mgombea Urais kuwasilisha pingamizi la matokeo ya Urais

    Madaraka matamu Haikande aligombea urais mara tano kama mpinzani akilaani kuminywa demokrasia ,haki na misingi ya utawala bora,nakumbuka siku za awali za utawala wake alitangaza kuongoza kipindi kimoja tu lakini amebadili gia angani ,saizi hataki hata mahakama zipokee kesi za uchaguzi.Kwa nini...
Back
Top Bottom