Ndio pata pesa tujue tabia yako hii tabia iko pande zote ingawa wanawake wamezidi ,waliosomesha na kutoa mitaji wanalia mbaya zaidi mwanamke amzidi elimu na hela,kari ya 100 wanaobaki watiifu ni 20 % wengine wanataka uhuru na kujitawala kutafuta mme mwingine ambaye wanaendana kwa wakati huo.
Uchawa ni hatua ya maisha inayotoka ba ukosefu au uhaba wa ajira ndiyo maana vijana wamekuwa machawa ili wapate riziki au ajira ,siku zinakuja uchawa hautalipa kwa sababu watakuwa wengi kuliko soko la ajira ya uchawa matokeo yake watatafuta kazi halali,Rejea Kenya kipindi cha Moi
Tujadili hoja badala ya mtoa hoja,je miundombinu ya kiuchumi na kijamii ya jiji la mbeya inakudhi viwango vya kimataifa kuitwa jiji?inawezekana Mwambukusi akasaidia kwa kuisemea mbeya ili mamlaka husika ziongeze uwekezaji na uboreshaji wa miundombinu kuliko mtoa lawama ambaye anasifia na kufanya...
Kama ni mtumishi ulikopeshwa baada ya kukidhi kigezo cha kubaki na moja ya tatu ya mshahara wako iweje leo ushindwe kulipa deni au umekopa tena kwingine?pia kumbuka mkopo wote upo kwenye nyumba ambayo haizalishi so lazima maisha yawe magumu,ingelifaa ukope kuwekeza mradhi halafu ujenge kwa faida.
Kuna uhusiano gani ya uongozi maendeleo na dini?kwani viongozi wakristo wameshindwa kuleta maendeleo? Je wapi umeona mifano kwamba viongozi wa dini yako ndo waleta maendeleo?
Kwa nini wafabiashara mabilionea wanapenda siasa?Je wako tayari kutumia utajiri wao kusaidia jamii au wanatumia nafasi za kisiasa kama kinga na jukwaa la kukua kibiashara?
Ni mazingira tu na tofauti za tamaduni kwani mbwa anashida gani? Mbona wachina wanskula na bado wako na akili kubwa,iringa mbwa kitoweo,singinda punda halali,kusini panya supu, wengine mazingira yetu na vitoweo vingi pia wazee hawakuturithisha so tukubali kutokukubaliana.
Naomba kuuliza ni dhambi kutongoza mtu anayekuheshimu tu wala si ndugu yako,wanaume wameambiwa kuwapenda wanawake na wanawake wawatii wanaume,sasa mwaume kapata mke mwenye heshima/utii kwa nini asikoleze mahusiano?Ni dhambi wapi?
Je ni kweli mke ni ubavu wa mme?,je huyo ni chaguo lako,je Mungu uumpa mtu amfananae?je ni sahihi na haki kama yeye ndo angekuwa anakulisha wewe akukatae kwa sababu ni golkipa
Hili ni andiko la mtu binafsi si taarifa ya chama,kutumia maneno au Salam ya imani yake ya dini si dhambi wala ubaguzi,uvumilivu ktk uhuru wa maoni ni pamoja na kukubali ukweli kwamba tuna imani za madhehebu tofauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.