Wote wajinga wametanguliza maslahi binafsi kuangamiza dunia,huyo mchina nae mnyonyaji tu wa aAfrika kupitia mikataba ya hovyo yeye kwake maslahi kwanza,Marekani anavunja amani dunia ingawa kuna wakati anaisaidia Afrika ktk miradi ya kijamii,utawala bora na haki binadamu,mchina yeye kafanya dampo...
Umesema ukweli,hii dhana ya wapiga kura wangu/wetu imesababisha watendaji kushindwa kusimamia sheria ipasavyo kuna Dc sehemu alipambana kudhibiti uvuvi haramu alipata tabu tena alikwamishwa na chama chake kwa kuambiwa hiyo siyo sera ya ......Tutkuondosha hapa,matokeo ya kuchanganya siasa na...
Odera kwani hakusikia kauli ya Lisu au tenda yake ni kushughulika na heche kwa kujifanya anampenda Lisu anyway hii pia fursa kama ilivyo biashara ya majeneza
Kwanza tuambie muhutasari wa ukoo halali ulikuwa na rosario gani mpaka Hakimu haukatae,pili muhutasari uliofojiwa una mabadiliko gani ambayo wewe na wana ukoo wenzio hamkubaliani nao,au mlijigawia mali za marehemu
Wajinga ndo waliwao,siku hizi mchumba hasomeshwi,hakuna kujenga ukweni au kiwanja cha mke labda kama tayari mna watoto,ushauri wauze nyumba wagawane maprosoo au kwa hasira abomoe
Wasomi ni wengi kuliko nafasi za ajira hivyo tunatumia interview na vigezo vingine vidogovidogo kupunguza jam,jitahidi kujali vigezo na masharti haiba inasema vingi juu yako kuliko hiyo manila kadi(cheti)
Madaraka matamu Haikande aligombea urais mara tano kama mpinzani akilaani kuminywa demokrasia ,haki na misingi ya utawala bora,nakumbuka siku za awali za utawala wake alitangaza kuongoza kipindi kimoja tu lakini amebadili gia angani ,saizi hataki hata mahakama zipokee kesi za uchaguzi.Kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.