Ni dhana potofu inayowajumuisha masingle mother wote,vipi Masingle dad's nao hawafai? Si kweli hata JF kuna wanaume wengi tu wamezaa na wanawake wasio wake zao kwa sababu mbalimbali,tukubali sisi ndo tumewapa hao watoto na hilo jina na kuna wakati tunajuta kuwakataa hao wanawake na watoto.
Umesoma mvm kwa malengo ya kuajiriwa serikalini???Umeshindwa kuajiriwa kwenye sekta binafsi unalaumu ajira portal,Tubadilike ,tusome kupata maarifa ili tutengeneze ajira,nina mashaka na kiwango cha ujuzi wako ktk hiyo fani.
Wazo la uwepo wa viti maalum ni zuri ukizingatia vizingiti vya kiutamaduni dhidi ya fursa za uongozi na maamuzi ktk nchi za afrika .Tatizo hapa kwetu ni vigezo vya kuwapata,ulitegemea sifa ya kumudu kk ikupe critical thinkers
Imethibitika mabinti toka singing na karatu kwanza wanamvuto kwa vile ni warembo pia wanajua customer care idara zote hata chenji za walevi wanarudisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.