Recent content by BARAFU MOTO

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hivi ukioa binamu yako shangazi anabaki shangazi au anageuka mkwe?

    Anakuwa Shangazi mkwe,ilikuwa zamani saiz imepungua sana kwa sababu ilichangia kuvuruga mahusiano ya kindugu hasa ndoa inapovunjika
  2. B

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Hakika wewe ni nguli wa story telling skills
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Haujatenda haki wapi Madilu mad systeme?
  4. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: CHADEMA kila siku Katiba Mpya, Katiba Mpya inatuletea Ugali mezani? Wananchi wanataka hoja, siyo malalamiko

    Tatizo tunajidanganya kwamba watanzania ni wajinga hawajui uhusiano kati ya katiba na maisha
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Utawajua kwa matendo yao hauwezi kuvuka daraja kabla haujalifikia
  6. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa Mwanamke 'Single Mother' hafai tena kuwa na Mwanaume mwingine na wana matatizo ni nani alitudanganya Wanaume?

    Ni dhana potofu inayowajumuisha masingle mother wote,vipi Masingle dad's nao hawafai? Si kweli hata JF kuna wanaume wengi tu wamezaa na wanawake wasio wake zao kwa sababu mbalimbali,tukubali sisi ndo tumewapa hao watoto na hilo jina na kuna wakati tunajuta kuwakataa hao wanawake na watoto.
  7. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    Miguno ni mwitikio wa hisia za tendo la kuchakatana ukiona hakuna miguno inawezekana hakuna mikuno ,jiongeze.
  8. B

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Umesoma mvm kwa malengo ya kuajiriwa serikalini???Umeshindwa kuajiriwa kwenye sekta binafsi unalaumu ajira portal,Tubadilike ,tusome kupata maarifa ili tutengeneze ajira,nina mashaka na kiwango cha ujuzi wako ktk hiyo fani.
  9. B

    JamiiForums Tanzania KERO Wafawidhi wa Vituo hatuna posho ya madaraka kama ilivyo kwa wenzetu Wakuu wa Shule

    Hivi siku hizi hakuna on call /overtime allowance ndugu mfawidhi?
  10. B

    JamiiForums Tanzania Tamisemi, Tunaomba wanafunzi warudi nyumbani likizo wasibaki shuleni mtaàla wa sasa unapima ufahamu siyo content based curriculum

    Mtaala rasmi unatekelezwa ktk mfumo rasmi ambao ni shuleni sio nyumbani au kwingine ,upimaji utanyika kwa mafunzo yanayotolewa shuleni si nyumbani.
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    In short mmechokana bila shaka wote ni wazinzi hamna cha kupoteza.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Huo uraia ameomba mwenye kuonesha loyalty au sisi ndo tunamuomba tumpe uraia,pili vipi ishu ya umri wake atatumika kwa muda gani?
  13. B

    JamiiForums Tanzania Bunge lifute viti maalum-mzigo kwa Taifa

    Wazo la uwepo wa viti maalum ni zuri ukizingatia vizingiti vya kiutamaduni dhidi ya fursa za uongozi na maamuzi ktk nchi za afrika .Tatizo hapa kwetu ni vigezo vya kuwapata,ulitegemea sifa ya kumudu kk ikupe critical thinkers
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaoanzisha pubs mpya wengi lazima watinge Singida kutafuta mabinti wa kuziendesha/kuhudumia?

    Imethibitika mabinti toka singing na karatu kwanza wanamvuto kwa vile ni warembo pia wanajua customer care idara zote hata chenji za walevi wanarudisha
Back
Top Bottom