Recent content by BARAFU MOTO

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Hoja yako ingelikuwa na mashiko kama factors zingine zingelikuwa huru mf tume ya uchaguzi
  2. B

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Ndio pata pesa tujue tabia yako hii tabia iko pande zote ingawa wanawake wamezidi ,waliosomesha na kutoa mitaji wanalia mbaya zaidi mwanamke amzidi elimu na hela,kari ya 100 wanaobaki watiifu ni 20 % wengine wanataka uhuru na kujitawala kutafuta mme mwingine ambaye wanaendana kwa wakati huo.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ili kupunguza machawa kwenye vyama vya siasa na kupata viongozi WAZALENDO liwepo sharti Kila kiongozi wa chama awe shughuli ya kiuchumi kupata kipato

    Uchawa ni hatua ya maisha inayotoka ba ukosefu au uhaba wa ajira ndiyo maana vijana wamekuwa machawa ili wapate riziki au ajira ,siku zinakuja uchawa hautalipa kwa sababu watakuwa wengi kuliko soko la ajira ya uchawa matokeo yake watatafuta kazi halali,Rejea Kenya kipindi cha Moi
  4. B

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Tujadili hoja badala ya mtoa hoja,je miundombinu ya kiuchumi na kijamii ya jiji la mbeya inakudhi viwango vya kimataifa kuitwa jiji?inawezekana Mwambukusi akasaidia kwa kuisemea mbeya ili mamlaka husika ziongeze uwekezaji na uboreshaji wa miundombinu kuliko mtoa lawama ambaye anasifia na kufanya...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wamuomba Rais Samia fursa ya kusafiri naye nje ya nchi. Awakubalia

    Semu kala winga,amewwacha solemba wazee wa tour
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Mifumo ya mwli wa mnyama unavyofanya kazi mfano ,mfumo wa chakula,mfumo wa damu mfumo wa uzazi(uke na ume) mfumo wa ikolojia kwa uchache
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Kama ni mtumishi ulikopeshwa baada ya kukidhi kigezo cha kubaki na moja ya tatu ya mshahara wako iweje leo ushindwe kulipa deni au umekopa tena kwingine?pia kumbuka mkopo wote upo kwenye nyumba ambayo haizalishi so lazima maisha yawe magumu,ingelifaa ukope kuwekeza mradhi halafu ujenge kwa faida.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Kwani mabibi harusi tu na wanaagwa,mabwana hawaagi michepuko yao
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tabora tunataka RC Muislam sasa

    Kuna uhusiano gani ya uongozi maendeleo na dini?kwani viongozi wakristo wameshindwa kuleta maendeleo? Je wapi umeona mifano kwamba viongozi wa dini yako ndo waleta maendeleo?
  10. B

    JamiiForums Tanzania Je, Kila Mwanasiasa Tajiri ni Fisadi?

    Kwa nini wafabiashara mabilionea wanapenda siasa?Je wako tayari kutumia utajiri wao kusaidia jamii au wanatumia nafasi za kisiasa kama kinga na jukwaa la kukua kibiashara?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Fanya utafiti hana hamu ya tendo la ndoa au hana hamu ya tendo la ndoa na wewe?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Congo nyama ya mbwa kuuzwa sokoni ni kawaida

    Ni mazingira tu na tofauti za tamaduni kwani mbwa anashida gani? Mbona wachina wanskula na bado wako na akili kubwa,iringa mbwa kitoweo,singinda punda halali,kusini panya supu, wengine mazingira yetu na vitoweo vingi pia wazee hawakuturithisha so tukubali kutokukubaliana.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Naomba kuuliza ni dhambi kutongoza mtu anayekuheshimu tu wala si ndugu yako,wanaume wameambiwa kuwapenda wanawake na wanawake wawatii wanaume,sasa mwaume kapata mke mwenye heshima/utii kwa nini asikoleze mahusiano?Ni dhambi wapi?
  14. B

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Je ni kweli mke ni ubavu wa mme?,je huyo ni chaguo lako,je Mungu uumpa mtu amfananae?je ni sahihi na haki kama yeye ndo angekuwa anakulisha wewe akukatae kwa sababu ni golkipa
  15. B

    JamiiForums Tanzania ASANTE Bwana Yesu, hili la Heche wananchi wameli brush off. Wamelipiga teke na kumruhusu Heche aendelee na kichapo. Machawa tafuta lingine

    Hili ni andiko la mtu binafsi si taarifa ya chama,kutumia maneno au Salam ya imani yake ya dini si dhambi wala ubaguzi,uvumilivu ktk uhuru wa maoni ni pamoja na kukubali ukweli kwamba tuna imani za madhehebu tofauti.
Back
Top Bottom