Recent content by BARADIGE

  1. B

    MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Point sana hii
  2. B

    Rostam Azizi na uwekezaji wa Taifa gesi

    Nchi hii haijawahi kunielewa ndo maana Kila siku ni mambo mapya tu
  3. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Ukiwa na 10,000/= tu unapata
  4. B

    Tozo zinalemaza serikali kubuni miradi mipya

    Habari za muda huu Wana Jamvi, Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi. Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
  5. B

    Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
  6. B

    Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

    Zaidi ya 30????? Usiwape watu taarifa za uongo. Bandari yenyewe Ina Gati 11 ambazo kimsingi zinaweza kuweka Meli kubwa 6 au
  7. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
  8. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Miaka imepita unaambiwa namba ndo ipo wakat hata ukitaka kufatilia VISA online unatackiwa u attach kopy ya kitambulisho cjui hawaoni Wana wasumbua watu Huu ni usumbufu sana
  9. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Hii sijui ila nacho fahamu lazima kitumwe au fata makao makuu watakupa muongozo
  10. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Makao makuu wamehamia pale Posta mpya, Kitambulisho kifate ulipo jiandikishia ndo wanatuma huko
  11. B

    Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

    Kwasasa bandari imebadilika cjui tatizo ila ukipita maeneo ya bandari upande wa TICTS Kuna sintofahamu inaendelea Inasemekana mkataba wa TICTS na TPA unaisha mwez wa Tisa hivyo TICTS anaogopa kuleta meli kubwa ambayo itamchukua muda hushushs na pia hiyo mizigo ni ya wateja hivyo atakuwa...
  12. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Habari za muda huu wanajamvi...... Matumizi ya VITAMBULISHO vya NIDA dhumuni lake lilikuwa zuri ila Sasa limekuwa ni hangs linalo sumbua watu Kila uchao. Mimi nilifanikiwa kupata kitambulisho hiki tangu 2016, lakini kitambulisho hiki kilikuja kikiwa kimekoseaanilifatilia kwakuwa kitambulisho...
  13. B

    Nimefanikiwa kufungua online radio

    Una run radio Yako kutoka host gan maana online zote zinategemea host Fulani mfano ni zile zinazo ruhusu kutengeneza alaf unalipia subscription
  14. B

    Madudu ya ajira mpya za walimu 9,800. TAMISEMI tunaomba majibu

    Hahahaha combination hii ilikuwaje
Back
Top Bottom