Recent content by BARADIGE

  1. B

    JamiiForums Tanzania Itambue biashara ya Export Tanzania

    Unajua wafanyabiashara wengine wa Tanzania Bado upande wa export hawana maarifa sana kutokana na Biashara hii kwa kipindi kirefu imekuwa ikimilikiwa na watu wachache Tena wenye vipato vikubwa Mfano ukisema madini ya copa kwa Tanzania utakuta muuzaji mkubwa ni Bravo Ukija kwenye zao la katani...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Itambue biashara ya Export Tanzania

    J Hakika pia unatakiwa ulielewe soko vizuri ili upate faida
  3. B

    JamiiForums Tanzania Itambue biashara ya Export Tanzania

    Habarini Wana jukwaa na poleni na majukuku ya kila siku. Leo ningependa tujadili kuhusu biashara ya export ambayo kwa namna Moja au nyingine ni biashara inayo fanywa na watu wachache na hii hutokana na kukosa maarifa ya dhati katika biashara hii. Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zina...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata list ya watoa huduma Fiber Dar es Salaam

    Je Kwa mbagala vp fiber ipi ipo?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Leo nimepeleka nasubr kesho nilifate nione kama Kuna tofauti
  6. B

    JamiiForums Tanzania Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Asante ngoja nifanye hivyo
  7. B

    JamiiForums Tanzania Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Asante
  8. B

    JamiiForums Tanzania Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Habari za muda huu, ni matumaini yangu mwaka umeanza salama. Bila kupoteza muda, ninaomba kwa wenye ufahamu kuhusu suala langu. Nina friji jipya kabisa la kampuni ya AILYONS, nililinunua mwezi wa 10. Mwanzo halikuwa na shida yoyote, lakini sasa linashindwa kuendelea na kazi yake kwa muda...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Simu zipi ni nzuri kati ya Xiaomi, OPPO na VIVO?

    Mbona ukiangalia megapixels ni ndogo kwa oppo nyingi
  10. B

    JamiiForums Tanzania MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

    😂😂😂😂😂 Point sana hii
  11. B

    JamiiForums Tanzania Rostam Azizi na uwekezaji wa Taifa gesi

    Nchi hii haijawahi kunielewa ndo maana Kila siku ni mambo mapya tu
  12. B

    JamiiForums Tanzania Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Ukiwa na 10,000/= tu unapata
  13. B

    JamiiForums Tanzania Tozo zinalemaza serikali kubuni miradi mipya

    Habari za muda huu Wana Jamvi, Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi. Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

    😂😂😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom