Unajua wafanyabiashara wengine wa Tanzania Bado upande wa export hawana maarifa sana kutokana na
Biashara hii kwa kipindi kirefu imekuwa ikimilikiwa na watu wachache Tena wenye vipato vikubwa
Mfano ukisema madini ya copa kwa Tanzania utakuta muuzaji mkubwa ni Bravo
Ukija kwenye zao la katani...
Habarini Wana jukwaa na poleni na majukuku ya kila siku.
Leo ningependa tujadili kuhusu biashara ya export ambayo kwa namna Moja au nyingine ni biashara inayo fanywa na watu wachache na hii hutokana na kukosa maarifa ya dhati katika biashara hii.
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zina...
Habari za muda huu, ni matumaini yangu mwaka umeanza salama.
Bila kupoteza muda, ninaomba kwa wenye ufahamu kuhusu suala langu. Nina friji jipya kabisa la kampuni ya AILYONS, nililinunua mwezi wa 10. Mwanzo halikuwa na shida yoyote, lakini sasa linashindwa kuendelea na kazi yake kwa muda...
Habari za muda huu Wana Jamvi,
Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi.
Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.