Habari za muda huu, ni matumaini yangu mwaka umeanza salama.
Bila kupoteza muda, ninaomba kwa wenye ufahamu kuhusu suala langu. Nina friji jipya kabisa la kampuni ya AILYONS, nililinunua mwezi wa 10. Mwanzo halikuwa na shida yoyote, lakini sasa linashindwa kuendelea na kazi yake kwa muda...
Habari za muda huu Wana Jamvi,
Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi.
Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
Miaka imepita unaambiwa namba ndo ipo wakat hata ukitaka kufatilia VISA online unatackiwa u attach kopy ya kitambulisho cjui hawaoni Wana wasumbua watu
Huu ni usumbufu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.