Habari za muda huu Wana Jamvi,
Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi.
Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
Miaka imepita unaambiwa namba ndo ipo wakat hata ukitaka kufatilia VISA online unatackiwa u attach kopy ya kitambulisho cjui hawaoni Wana wasumbua watu
Huu ni usumbufu sana
Kwasasa bandari imebadilika cjui tatizo ila ukipita maeneo ya bandari upande wa TICTS Kuna sintofahamu inaendelea
Inasemekana mkataba wa TICTS na TPA unaisha mwez wa Tisa hivyo TICTS anaogopa kuleta meli kubwa ambayo itamchukua muda hushushs na pia hiyo mizigo ni ya wateja hivyo atakuwa...
Habari za muda huu wanajamvi......
Matumizi ya VITAMBULISHO vya NIDA dhumuni lake lilikuwa zuri ila Sasa limekuwa ni hangs linalo sumbua watu Kila uchao.
Mimi nilifanikiwa kupata kitambulisho hiki tangu 2016, lakini kitambulisho hiki kilikuja kikiwa kimekoseaanilifatilia kwakuwa kitambulisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.