Recent content by BARADIGE

  1. B

    Naomba kupata list ya watoa huduma Fiber Dar es Salaam

    Je Kwa mbagala vp fiber ipi ipo?
  2. B

    Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Leo nimepeleka nasubr kesho nilifate nione kama Kuna tofauti
  3. B

    Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Asante ngoja nifanye hivyo
  4. B

    Msaada Friji lina miezi 3 ila sasa haligandishi

    Habari za muda huu, ni matumaini yangu mwaka umeanza salama. Bila kupoteza muda, ninaomba kwa wenye ufahamu kuhusu suala langu. Nina friji jipya kabisa la kampuni ya AILYONS, nililinunua mwezi wa 10. Mwanzo halikuwa na shida yoyote, lakini sasa linashindwa kuendelea na kazi yake kwa muda...
  5. B

    Simu zipi ni nzuri kati ya Xiaomi, OPPO na VIVO?

    Mbona ukiangalia megapixels ni ndogo kwa oppo nyingi
  6. B

    MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

    😂😂😂😂😂 Point sana hii
  7. B

    Rostam Azizi na uwekezaji wa Taifa gesi

    Nchi hii haijawahi kunielewa ndo maana Kila siku ni mambo mapya tu
  8. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Ukiwa na 10,000/= tu unapata
  9. B

    Tozo zinalemaza serikali kubuni miradi mipya

    Habari za muda huu Wana Jamvi, Kutokana na Hali hii inayo endelea ambapo Kila kunapo kuchwa serikali yetu inakuja na TOZO mpya za Kila kitu hii inapelekea serikali kuji sahau na kumuumiza mwananchi. Kwa Sasa siyo Tena makato ya simu Hadi tulipo kimbilia benk Hali ni hiyo hiyo Serikali...
  10. B

    Kunani Bandari ya Dar es Salaam? Hakuna Meli hata moja

    Zaidi ya 30????? Usiwape watu taarifa za uongo. Bandari yenyewe Ina Gati 11 ambazo kimsingi zinaweza kuweka Meli kubwa 6 au
  11. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    😂😂😂😆😆😆😆
  12. B

    Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima

    Miaka imepita unaambiwa namba ndo ipo wakat hata ukitaka kufatilia VISA online unatackiwa u attach kopy ya kitambulisho cjui hawaoni Wana wasumbua watu Huu ni usumbufu sana
Back
Top Bottom