Jana nimeona mawaziri wetu wakijitutumua kuzungumzia suala Dangote haswa sababu za usitishwaji wa uzalishaji wa cement hapo kiwandani kuwa umetokana na mechanical issue. Jambo ambalo sielewi; kama makaa ya mawe yanapatikana hapa nchini kwa ubora unaotakiwa na bei stahiki kwa nini Dangote aagize...
Sote tumeshuhudia katika uchaguzi wa Marekani mambo yakienda tofauti na matarajio ya wengi, je nini kimesababisha mgombea wa democratic Bi Hillary Clinton kushindwa?
Moja ya sababu ya Bi Hillary kushindwa uchaguzi ni kashifa iliyomkumba ya kutumia anwani binafsi ya barua pepe ambayo iliweza...
MATOKEO HADI KUFIKIA SAA 10:20 ASUBUHI E.A TIME
Electoral votes Clinton 218 while 55,219,174 (47.1%) popular votes
Electoral votes Trump 266 while 56,435,390 (48.2%) popular votes
In order to win election that candidate must acquire 270 electoral votes
MATOKEO HADI KUFIKIA SAA 10:20 ASUBUHI E.A TIME
Electoral votes Clinton 218 while 55,219,174 (47.1%) popular votes
Electoral votes Trump 266 while 56,435,390 (48.2%) popular votes
In order to win election that candidate must acquire 270 electoral votes
MATOKEO HADI KUFIKIA SAA 8:30 ASUBUHI E.A TIME
Electoral votes Clinton 215 while 50,942,017 (47.2%) popular votes
Electoral votes Trump 244 while 52,079,143 (48.2%) popular votes
In order to win election that candidate must acquire 270 electoral votes
Matokeo haya yanaendelea kushangaza kula...
MATOKEO HADI KUFIKIA SAA 8:30 ASUBUHI E.A TIME
Electoral votes Clinton 215 while 50,942,017 (47.2%) popular votes
Electoral votes Trump 244 while 52,079,143 (48.2%) popular votes
In order to win election that candidate must acquire 270 electoral votes
Mimi ni mmojawapo wa mwashabiki wa mpira wenye higher respect kwa Yaya Toure, nimejikuta nina mdisrespect Gurdiola kwa chuki zake dhidi ya huyu jamaa. Napaswa kumsifu Yaya kwa kuomba msamaha ingawa hakustahili kwani kuomba msamaha hakumdhoofishi wala kumshusha hadhi bali kunamuonyesha kuwa yeye...
Nimesikiliza clip ya mhe Bashe kwenye youtube akichangia mpango wa nchi uliowasilishwa na waziri wa fedha yuko very clear kwa hoja zake, kumkosoa mhe Bashe kwa mchango wake wa kizalendo, inatia shaka kwa mleta hoja. Ndiyo changamoto tulinayo nayo baadhi yetu, hatutaki kukoselewa, mhe mbunge...
Wengi wetu huwa tunatarajia hali zetu za kimaisha kuwa nzuri kadri ya siku zinavyosonga mbele, mbaya hali inapokuwa kinyume na mbaya zaidi ukikuta ugumu wa maisha unasababishwa na mkono wa mwanadamu kwa makusudi. Hakuna maendeleo kwa taifa letu yatakuja bila kuanza kwa kuboresha hali za maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.