Kawaida tu sema inaonekana jambo la ajabu kwasababu ya mazoea na tamaduni lakin ni jambo la kawaida sana. Mbona wanaume nao wapo wanaonazalisha wanawake kisha wanaume hao wanaachiwa watoto wadogo ambao wanakuja kuwa mzigo kwa wazee vilevile ila hawasemwi?
Sio wote wanalia wengine wanacheka,usijidanganye kuwa kumliza ndo kumridhisha. Wengine wanalia kwa kukuonea huruma kuwa wanakuambukiza magonjwa. Kaa chonjo
Acha ukabila mkuu! me pia nmeoa mchaga mzuri,mtamu na hardworking kwa kweli mambo yako fresh na wazazi wangu pia wanafurahia kuwa na mkamwana huyo wananipa big-up kwa kuoa kwa MBESA
Maisha mipango hivi inawezekana kweli kila mtu unayekutana nae kuanzia labda 23yrs hadi above 30 haupati husbad material? unless you are not serious, lakini kama uko serious kupata mwenza hutakurupuka kuingia kwenye mahusiano. Me wa kwangu alikuwa na 27 tulipoanza na now we are happy with one...
Uliperform chini ya kiwqango pole bwana mdogo, Utapata mwingine ila jifunze namna ya kumridhisha mpenzi wako pengine ulishindwa ku exceed customer expectations
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.