Recent content by Bandundu

  1. Bandundu

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jamani tunaomba huku bonde la Rukwa/bondeni Sumbawanga kuna katizo la umeme wa REA ambalo nahisi halijawa hitokea katika inchi hii,mpaka inakera yaani. Tukiuliza tunaambiwa matatizo ya kiufundi sasa matatizo gani hayaishi jamani. LAELA ambao ndo makao yetu makuu wapo kimya tu .
  2. Bandundu

    Dereva anahitajika Dar es Salaam

    Nipo mkuu,naishi hapa kawe ukwamami hapa.
  3. Bandundu

    Tusichanganye dini na siasa. Rais anaenda kanisani kama muumini wa kawaida

    Tulieni ninyi mbona mnayumba sana!!!!mmeshikwa pa bayaa!!!!SIASA IMO NDANI YA DINI baaaasi.
  4. Bandundu

    Tusichanganye dini na siasa. Rais anaenda kanisani kama muumini wa kawaida

    Siasa+Dini=1.tena siasa ipo ndani ya dini,ukijifanya weye unatenganisha vitu hivi tuseme uchague Dini kuna siku huyu mwanasiasa atayoa amri labda kwa watu wa dini kubadili mida ya kwenda kusali iwe ni kuingia jioni tu asubuhi mfanye kazi ww mtu wa dini utafanyeje?
  5. Bandundu

    Mwakasege kiongozi wa kiroho mwenye HESHIMA kubwa aliyefanikiwa kutenganisha siasa na dini

    Mkuu,huwezi tenganisha siasa na Dini,ni vitu vinavyo ingiliana.
  6. Bandundu

    Kishansa mji msafi kuliko Dar licha ya Vita kwanini

    Cairo,Lagos,Kinshasa na Johan'begi.Hayo majiji ni level nyengine kwenye hili bara letu la Africa.
  7. Bandundu

    UKAWA na CHAUMMA wasema hawatashiriki uchaguzi mdogo ujao hadi kasoro zilizojitokeza uchaguzi uliopita zitatuliwe

    Hizo ni iman zako tu mkuu. Hakuna usawa tena kwenye chaguzi za inchiii bora kuwaacha tu c.c...m wafanye peke yao.
  8. Bandundu

    Mamba Mzembe sana, meno yote yale anakamatwa kirahisi hivi na chui

    Mamba hana jeuri kwa chui,jaguar,chitter.hata kama yupo kwenye maji anachomolewa vizuri tu. Uzuri wa hawa wanyama jamii ya paka ni,timing,akili,wepesi.mamba hana ujanja wala maarifa ya kujinasua anapobanwa zaidi ya kutumia miguvu tu.
  9. Bandundu

    Waliochaguliwa MUHAS diploma tukutane hapa

    Daaah,mkuu umenikumbusha mbali sana,ndo lilikuwa chimbo langu.
  10. Bandundu

    Mheshimiwa Waziri wa Afya nasikitika nilichofanyiwa Lugalo hospital usiku huu

    Lugalo hospital mgonjwa masaa 24,ruksa kwenda mkuu,acha kupotosha watu.
  11. Bandundu

    Mheshimiwa Waziri wa Afya nasikitika nilichofanyiwa Lugalo hospital usiku huu

    Mkuu,Lugalo hospital,leadership and management haipo tena hapo yaani nifujo tupu.Yaani hapo kama unabima ya Afya bora usiende mana wale wanajeshi wa pale mapokezi wanakera. Kwanza wapo slow sana,pili mtu mmoja anafanya kaxi zaidi ya tatu pale,kuhakiki kadi ya bima kqenye computer,kujaza zile...
  12. Bandundu

    ARUSHA: Diwani msaliti apata pigo

    Hilo jina mweeeh,na hiyo avatar yako,,,, Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Bandundu

    Naomba kufahamu kuhusu Diploma ya Clinical Officer, MUHAS

    Wanacho angalia zaidi ni cheti cha form four.six ni kama sifa tu ya ziada. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom