Ndugu hapo ndo hata mm nilikua nawaza kwa nini hakujitetea hata alipokua majini??Hapo suala si wingi wa meno, ila wepesi na utayari. Alikuwa akiota jua na kujipumzisha, hakutegemea hili shambulio. Ila nilitegemea angefurukuta alivyoingizwa majini, nilisikia wana nguvu wawamo ndani ya maji.
Mamba hana jeuri kwa chui,jaguar,chitter.hata kama yupo kwenye maji anachomolewa vizuri tu.Tatizo hatuoni mwisho wa movie, je alipoingia majini hakuweza kujitetea? Tunaona mpaka anamwingiza majini. What was the end of the story.
Mamba hana jeuri kwa chui,jaguar,chitter.hata kama yupo kwenye maji anachomolewa vizuri tu.
Uzuri wa hawa wanyama jamii ya paka ni,timing,akili,wepesi.mamba hana ujanja wala maarifa ya kujinasua anapobanwa zaidi ya kutumia miguvu tu.
Ishu ni timing tu.
Ndugu hapo ndo hata mm nilikua nawaza kwa nini hakujitetea hata alipokua majini??
Nguvu ya mamba iko kumai!!Nguvu ya mamba mumaji.
Hapo jaguar kamlia timing na uboya wa mamba awapo nje ya maji hupoteza ule uwezo wake wa kuona mbali.
Kila mbabe ana mbabe wake.
Wanaogopa kuliwa na wao pia.Mimi naona kama hao mamba walikuwa watatu imekuaje mmoja analiwa, wengine wapo? Ni ulofa tu!!