maharage ya nazi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 344
- 229
Una Div. 1 point 15 kwanini umechagua diploma?
Hio ya o-levelUna Div. 1 point 15 kwanini umechagua diploma?
Mie nimechaguliwa Dental Laboratory Technology hapo muhimbiliHio ya o-level
Dental Laboratory Technology,DDLT Wewe ni wa wizara sema unasomea kwenye majengo ya muhimbili, hauna tofauti na wanaosoma nursing midwifery ambao wako muhimbili, hata madarasa yenu yako tofauti, elimu yenu yote inasimamiwa na wizara kuanzia mitihani mpaka Diploma yako! hivyo kaza moyo! kozi hizo mbili midwifery na DDLT haziko MUHAS!Mie nimechaguliwa Dental Laboratory Technology hapo muhimbili
Pamoja sanaDental Laboratory Technology,DDLT Wewe ni wa wizara sema unasomea kwenye majengo ya muhimbili, hauna tofauti na wanaosoma nursing midwifery ambao wako muhimbili, hata madarasa yenu yako tofauti, elimu yenu yote inasimamiwa na wizara kuanzia mitihani mpaka Diploma yako! hivyo kaza moyo! kozi hizo mbili midwifery na DDLT haziko MUHAS!
Duuh!! apo kaz kaz ynii amna kurembaPale kuna library inaitwa twentyfour yaani ni masaa 24 iko open maninja wanachimba..ukienda itumie vizuri itakusaidia sana..
mwanangu nakwambia ni kufA kufA na kuponA discussion ndo habari ya mjinPale kuna library inaitwa twentyfour yaani ni masaa 24 iko open maninja wanachimba..ukienda itumie vizuri itakusaidia sana..
Daaah,mkuu umenikumbusha mbali sana,ndo lilikuwa chimbo langu.Pale kuna library inaitwa twentyfour yaani ni masaa 24 iko open maninja wanachimba..ukienda itumie vizuri itakusaidia sana..
Tuko pamoja mkuu na mimi nilikua nikijichimbiaa huko pia mpaka kikaeleweka..ngoja dogo nae akapambaneDaaah,mkuu umenikumbusha mbali sana,ndo lilikuwa chimbo langu.
Bado tu mkuu! yaan watupandisha pressureJamani eti joining instruction bado hadi leo?????
Nmeskia vyuo vingine washaanza kutoa.......wanatuma kweny e-mailBado tu mkuu! yaan watupandisha pressure
Mie nimewapigia wakasema wakituma kwenye email watatutarifu kwa offline smsNmeskia vyuo vingine washaanza kutoa.......wanatuma kweny e-mail
Anhaa sawa mkuu.......tuendelee kusubrMie nimewapigia wakasema wakituma kwenye email watatutarifu kwa offline sms
Ndio.Maombi ya digrii MUHAS majina yametoka?