Recent content by banalunda

  1. banalunda

    Natafuta kijana wa kuuza chipsi

    Habarini za majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nahitaji kijana muaminifu na mzoefu wa jiko la kuuza chipsi, mishkaki, samaki n.k, kwa hapa Dar es Salaam. Aliye serious anicheki PM tafadhali.
  2. banalunda

    Nimetongozwa na muhindi, nampenda ila naogopa

    Kaicha tuenda cho che kugusha kana?
  3. banalunda

    Natafuta Secretary

    Wa kike tafadhali
  4. banalunda

    Natafuta Secretary

    Husika na kichwa cha Habari hapo juu, natafuta secretary mwenye experience na ajue kuongea na ku andika English, ni office international, naomba PM kwa muhusika
  5. banalunda

    Wauza smartphone tukutane hapa

    habari zenu, nina iphone 6s plus 16GB ya kubadilisha kioo, mwenye uhitaji tuongee naiuza bei nzuri, niliinunua dukani kabisa.PM
  6. banalunda

    Mke malaya, nimfanyaje?

    Kuchepuka ni swala moja, ila kwa namna mleta mada anavyo elezea ni kwamba huyo mwenzake hajutii kutenda hivyo.
  7. banalunda

    Wanawake tulieni na ndoa zenu

    Nakuomba PM
  8. banalunda

    Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

    Mimi nakupenda sana kuliko papuchi yako
  9. banalunda

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Mkuu habari yako. nahitaji kujua gharama ya kuagiza BMW X5 ya mwaka 2006 mpaka hapa mjini
  10. banalunda

    Umetongozwa leo na leo leo umevua nguo loh!

    Nitakupigia namba yako ninayo...
Back
Top Bottom