Huyu jamaa anazungumzia mziki ila haeleweki na hajui anachozungumzia eti rayvanny kabahatisha ngoma tanoo Ili aone itakayohit unaelewa maana ya EP lakini ???? Diamond platnumz Yuko booked kwa international show mpaka mwezi wa 7 hivi harmonize toka alivoondoka wasafi unaikumbukaa show yoyote na...
Nadhani mada tajwa inajieleza, nimehitimu stashahada ya sekondari ualimu wa sayansi Kemia na Biologia pia ni mwalimu mzuri wa Hisabati. Natafuta kazi ya kujitolea
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.