Natafuta kijana kwa ajili ya biashara ya chips

Natafuta kijana kwa ajili ya biashara ya chips

nsasa

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
312
Reaction score
416
Wadau kama kichwa kinavojieleza natafuta kijana kwa ajili ya kufanya biashara ya chips....
awe
msafi
Smart
Mwaminifu
Mzoef na kazi ya chips

Alie tayar na serious na kazi ani PM
 
Wadau kama kichwa kinavojieleza natafuta kijana kwa ajili ya kufanya biashara ya chips....
awe
msafi
Smart
Mwaminifu
Mzoef na kazi ya chips

Alie tayar na serious na kazi ani PM
Hujasema upo wap mkuu.

Mfano mtu yupo dar anataka hiyo kazi kumbe wewe upo kigoma itakuaje...hebu elimika bhana tunachoshana
 
Kijana ulimpata au bado?
are mimi nnamuitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom