Haiwezekani apatie yote eti ila la utapeli sio!!!
kama amepatia maana yake yote yako hivo labda wewe mwenyewe ndo hujui kama ni tapeli lakini wahanga wako wangekuwa wanasoma hapa wangekubaini!!
hata mi ninao uelewa kiasi fulani lakini hapo sielewi chochote??Hao waongoza semina watakuwa na wao hawajaelimika kama wataleta hii kitu kama ilivyo bila kujali wahudhuriaji! kwani hayo maneno uliyoandika ni kiwakilishi tu cha aina fulani ya kitu kwann wasikijadili hicho kitu kwa lugha rahisi...
Du WATZ wana mambo..mtu kaomba ushauri lakini katika kurasa 9 nimeweza kuona washauri kama 3 tu ndo wanaoelewa wanachosema..wengine mmmh. maadam ana mtandao basi ni kuweka neno lolote..hiyo ndo sababu inayomfanya huyu msomi afikirie kuhama nchi yake..kwa sababu tanzania kuna watu wengi sana...
sio wote walioko kwenye siasa ni wanasiasa, wengine wacha natural process ziwamalize kwa style hiyo. mwana siasa anayejua malengo yake hawezi ku-indulge upuuzi huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.