Recent content by balozi tz

  1. balozi tz

    Open university ni miaka 8?

    Hapo nimekuelewa mkuu
  2. balozi tz

    Ndege mpya ya TB Joshua ya Dolla Mil 60 hii hapa

    Yani umeona hiyo ndio maana ya huo msemo kwa hiyo picha ya Joshua pole sana bibilia ni pana sana Hakuna mtumishi wa mungu aliyekuwa tajiri hiviii wengine waliwagawia masikini Mali hizooo Je!!? Hapa vipiii
  3. balozi tz

    Open university ni miaka 8?

    Nimeingia TCU nimekuta miaka 8 Na prospector nayo imeandikwa 3-8 Ndugu zangu naomba kujuzwa ndugu yangu anataka kwenda pale Samahan kwa usumbufu
  4. balozi tz

    PSPF yashindwa kuwalipa wastaafu

    Hapa mtoa mada wastaafu wanapata stahiki zao kila Mara kwa wakatii.... Tena kila ikifika wakati wa kupewa bila shida wanachukua nimekaa pale wazee wanasifia ule mfuko
  5. balozi tz

    Mh. John Magufuli asababisha Kimbunga uwanja wa Jamhuri Morogoro Mjini

    Usishangae kwa lowasa kusema ivyo Mimi nikiwa mwka 2014 shule nilipoingia mwaka 2015 nikabaki kuandika 2014 ogopa mazoea Mzee sio mapenzii tuuuu.. Uzoefuuuuuu......
  6. balozi tz

    Nimesikia PSPF wanatoa mikopo ya viwanja kwa wanachama wake

    Tafadhali habari ya muda huu? Unajua nimekaa nikajiuliza je? Hii mikopo ni ya kweli au vipi?? Je!? PSPF na mifuko mingine ipi iko boraa zaidii Naomba tusaidiane....
  7. balozi tz

    Vichwa vya habari vya magazeti ya kesho 5/09/2015

    Na ile trim 1.4 muulize ni ya nini ya kujenga barabara wakati bill 900 za wizii za kazi bil 200.4 Muulize bil 10 za Barbara Lind mtwara wapii
  8. balozi tz

    Channel Ten, mwandalieni Polepole kitanda tu huko studio kwenu

    Hahaahahha Ni shida uDC unamsumbuaa
  9. balozi tz

    Vichwa vya habari Magazetini kesho

    Daily news " magufuli is the contester who makes jangwani full occupied" Nipashe " magufuli awanunua wananchi'"
  10. balozi tz

    Mpoto kuwa MC au kutangaza hawezi

    Mpoki ndo kila kituuu
  11. balozi tz

    Ni chakula gani ulikuwa hukipendi ulipokuwa mtoto?

    Ukipikwa wali mchelee duh!! Sili Hata drinking water aaah sinywiii mpaka yaje kwenye bakuliii
Back
Top Bottom