Mtandao wa kijinga ukiandika sms ndefu haiendi
Ukipiga simu buduma kwa wateja hawapokei
Sms kwenda mitandao mengine una resend hadi unasusa
Wanajua wazi hawana wateja wengi harafu wanakupa dakika kiduchu za kupiga mitandao yote
Ukinunua kifurushi kwa T pesa au kufanya muamala wa salio...
2010 hiyo
Diamond na mwenzie bob junior nawadai hela yangu sh 600 niliwakopesha mayai mawili.walikuwa wateja zangu kila siku nikiwakuta nje pale sharobaro rekod mogomeni mapipa lazima wanunue au wakope kesho yake walipe sas kuna siku nimewakut nje walikuw watatu wakala mayai mnne kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.