Hawa ni Bantu Group Band wakiwa jukwaani....Huyo wa Tatu kutoka kushoto ni Eddy Sheggy (Mzee Shakaza) akiwa anashambulia Jukwaa na 'Wana Bantu Boma Tunakula Miziki'......
Duh...We jamaa...Una umri gani wewe?...Nani kakudanganya?....Eddy alipotoka Washirika Tanzania Stars yeye na wadogo zake Christian na Francis waliungana na Komandoo Hamza Kalala kuanzisha Bantu Group...Hao akina Mwinjuma na Choki walikuwa waitikiaji (back vocals) tu...Sikiliza wimbo wa...
Inakuwaje taarifa ya Mwaka 2013, zaidi ya miaka 10 iliyopita unaileta leo?….HUU NI UPOTOSHAJI WA KIWANGO CHA JUU…Hili tukio lilitokea mwaka 2013 wakati Mkwajuni ilikuwa wilaya ya Chunya na Wilaya ya Chunya haijagawanywa…Kwa sasa Mkwajuni ipo Wilaya ya Songwe Mkoa wa Songwe…
Pia kipindi tukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.