Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,825
- Thread starter
- #1,601
Huu hapaWeka hapa nyimbo hii tupakue nasi tuupate uhondo
Huu hapaWeka hapa nyimbo hii tupakue nasi tuupate uhondo
Nyote wake zangu waliimba vijana jazz band ,nakumbuka nilikuwa mdogo sana kwenye radio cassette ya spika mbili miaka kama 1993Mkuu Balantanda hizi nyimbo mbili hauna au haujawahi kuzisikia? Nyimbo hizo ni
1. Mama Jeni ... Inaimbwa
Mama Jeni mke wangu kwaheri mamaa, Mungu akulaze mahali pema peponi
2. Nyote wake zangu
Nyote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa, mpendane ndio heshima ya ndoa eeh.
Tatizo bandi zilizoimba nyimbo hizi pamoja na waimbaji wake nimewasahau. Kitambo sana hiyo.
Vijana jazzkuna wimbo nautafuta sikumbuki kama waliimba vijana Jazz au bendi gani, kibwagizo chake kilikuwa hivi "enyi wote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa mpendane ndio heshima ya ndoa ee"
MImi naomba huu wimbo uliimbwa na binti mwenye sauti nzuri..." nimeshagunduaa... na yule jiraniii iii,na picha niligundua nilipokuwa nikifuua...Huu hapa
Asante sana mkuu, ngoja nijaribu kuutafuta kupitia band ya vijana jazz labda nitaupata. Ila tatizo sijui kama hilo ndio jina sahihi la wimbo au walitumia jina lingine kuuita.Nyote wake zangu waliimba vijana jazz band ,nakumbuka nilikuwa mdogo sana kwenye radio cassette ya spika mbili miaka kama 1993
Juma Ramadhan Magola Kilaza, anayefahamika kwa jina la Kilaza ni mmoja wa wanamuziki bora zaidi kuwahi kutokea nchini Tanzania. Kilaza alianza kazi yake ya muziki mapema miaka ya 1960. Enzi za uhai wake alitamba na kuziongoza bendi mbalimbali ambazo ni pamoja na bendi ya Morogoro Jazz, Cuban Marimba, TK Lumpopo, Magola International na Les Cuban zote za Morogoro mjini. Katika bendi hizi zote alizowahi kuzitumikia alicheza nafasi kubwa kama mtunzi na mpangaji wa muziki, hamu yake kuu ilibaki kuwa muziki wa rumba maarufu nchini kama muziki wa dansi. Kuna sababu ya kuzingatiwa hivyo, kwani muziki uliopigwa na takriban bendi nyingine zote za muziki nchini ulikuwa kwa kiasi kikubwa muziki wa rumba wenye asili ya Cuba. Kitabu hiki kinaelezea kazi ya muziki ya Kilaza, kutoka Morogoro jazz hadi Les Cuban. Inaeleza mchango wake katika kukuza lugha ya Kiswahili, kuelimisha, kuburudisha wapenzi wa muziki, na katika kuutangaza mji wa Morogoro alikozaliwa ambao aliupenda na kuupenda sana. Kitabu hiki pia kinaangazia baadhi ya changamoto alizowahi kukumbana nazo katika kazi yake ya muziki na mikwaruzano maarufu aliyowahi kuigiza kati yake na nyota mwingine wa muziki wakati huohuo maarufu mjini Mbaraka Mwinshehe Mwaruka. Source :
THE MAESTRO JUMA KILAZA FROM MOROGORO TANZANIA The town famous in football and music: Dancing to Ambiyansey tunes from mji kasoro bahari
Anthony Marwa Mwita
Labda unazungumzia wimbo wa Saida Karoli.Kuna wimbo niliuona sana 2004-2006 sema nishausahau jina Kuna mdada kavaa kitamaduni kibwebwe anakata nyonga balaa, nishausahau szan kama ntakuja uona tena
Utakua unaitwaje nikuona naweza kujua ndo wenyewe au lahLabda unazungumzia wimbo wa Saida Karoli.
mi pia nililiona lipo kata ya vuga kijiji cha baghaiMie natafuta nyimbo za TOM MALANGA:
1.AMIGO
2.AFRO
3.BARUA.
Na pia natafuta nyimbo za yule mwanamziki mkongwe(marehemu kwa sasa)ni msambaa wa VUGA Lushoto na kwa jinsi nilivyokua nampenda mwaka 2010 nilisafiri mpaka kijijini kwao nikaliona kaburi lake.
wimbo wake ninao upenda zaidi unaitwa Mwisho wa mwezi.Hapa namuongerea EDDY SHEGGY.