Hivi mliwahi kujiuliza kwa nini wakati Prof Mwesiga Baregu akinyimwa ajira UDSM eti kwa kuwa mjumbe wa KK ya CDM, wakati huo huo Dr Kitila Mkumbo hakuguswa, na infact aliachiwa akagombea na kiti cha UDASA? Fikirisha ubongo kidogo mtamuelewa Dr Mkumbo.
Kaahidiwa ukuu wa wilaya? Eti mtu Hana chama anachokiongoza hafu anajitia sijui kumwakilisha nani? Kuga, it's time to man up. Watoto wako wanakuelewa vipi?
Hii habari imewekwa kudraw attention yetu kwenye barabara zetu ambazo haziwezi kuhimili mvua za siku mbili, kumbuka Dumila bridge mvua ya siku moja tu, sasa hii siku mbili madaraja zaidi ya manne khalas. Corruption of the highest order. Nobody follows up on the quality kwa sababu wameshapakwa...
Ulisikia kauli ya Prophet T.B.Joshua kwa Mwigulu? "All those who kill their fellow country men, either directly or by order, shall Not live beyond 2015. Why don't these killings happen at your political rallies?" Mwenye masikio ya kusikia na asikie.
They say "power corrupts, and absolute power corrupts absolutely". It is after power has been taken away from him that Nchimbi is seeking God's intervention? What a folly, Emmanuel. Repent brother, for all the murders you have committed, may be God will listen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.