Sijafaham Nini umeelezea zaid ya lowasa ningetaman kufaham maandish yako Kwan namie pia nimshabiki WA lowasa Kama nakuomba uelezee kwa Kiswahili si wote tunafaham kimombo tafadhal mdau.....
Wacha zako Wewe hawa wapemba hapa wanakosa gani mpaka uwatukane? Au unachuki zako? Na hakika furaha ingekua duni siku akitokea Mtu akakutukana, watu wanazungumza maendeleo hapa ya nchi Wewe unaleta ushabiki Hebu changia ulete challenge tujue Kua tuna watu muhim humu JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.