Tatizo lako ni ulevi huyu bawacha mwenzenu kawaharibu kwa mipombe.lizabon ww ni msengerema,kwahyo huw unapochangia habar za lowassa kwamba ni mgonjw huw unajitoaga akili,lakin jk akiugua ni mipango ya Mungu,we farara kweli
Mjomba wako!hivi anayewalawit mashekh mahabusu ninani huyo?
Nadhani ndio unataka tufike huku sasaMkuu akili yako inatofauti gani na huyu mtu.
kessy km yeye mwanaume aje kibanda maiti.
Harofika ni nini? vilevile hospitali yako ya taifa hauijui? sema muhimbili, sio muhimbiri! unachokitetea ni sawa na akili yako!Cuf kuna siku walimwambia asije Zanzibar akawauliza kwani Zanzibar kuna nini mpaka aje na akasema hakuwai kufika na harofika kabisa!
Lakini hawa wabunge wa Cuf wanataka Rais akatibiwe muhimbiri? Ni lini Mara ya mwisho Lipumba kwenda kutibiwa muhimbiri? Unajua hawa wapinzani siku hizi wameishiwa hoja kabisa!
Cuf kuna siku walimwambia asije Zanzibar akawauliza kwani Zanzibar kuna nini mpaka aje na akasema hakuwai kufika na harofika kabisa!
Lakini hawa wabunge wa Cuf wanataka Rais akatibiwe muhimbiri? Ni lini Mara ya mwisho Lipumba kwenda kutibiwa muhimbiri? Unajua hawa wapinzani siku hizi wameishiwa hoja kabisa!
tetrtetetete
===Suala la kutibiwa nje ni matokeo ya uwekezaji hafifu na sera mbovu wa huduma ya afya nchini. Wananchi maskini wanakufa kwa kukosa huduma nzuri za matibabu. CCM ndio waliotufikisha hapo. Walaaniwe wezi hawa..!!kessy km yeye mwanaume aje kibanda maiti.
===Suala la kutibiwa nje ni matokeo ya uwekezaji hafifu na sera mbovu wa huduma ya afya nchini. Wananchi maskini wanakufa kwa kukosa huduma nzuri za matibabu. CCM ndio waliotufikisha hapo. Walaaniwe wezi hawa..!!
Wapemba wa CUF ni wajinga sana SEIF akienda kutibiwa Oman na India sawa.JK ameenda marekani wanalialia.
Mjomba wako!
Nchi yetu inahitaji maombi. Tumuombe Mungu wa rehema atuwezeshe kupata viongozi ambao watajali maisha ya raia wao maskini. Hospitali hazina dawa, lakini kiongozi anaishi kama vile ana pesa ya mafuta!safari ya JK tu ni shs milioni 175,000,000/= + hawo wengine aliowaburuta, hizi ni kodi za watanzania maskini. ni fedha nyingi zaidi zilizowahi kutumika kwa upuuzi kama huo wa tenz dume wakat Tz inawezekana