Recent content by bakar shomar

  1. bakar shomar

    Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

    Nahis alitaka kumwambia wale wanaodaiwa na tigo nivushe na voda pesa wasamehewe
  2. bakar shomar

    Tafakuri yangu ya leo kuhusu Wazungu

    Msaada kwa anayejua au kufahamu chochote kuhusu hawa watu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. bakar shomar

    Tafakuri yangu ya leo kuhusu Wazungu

    Siku zote tumekuwa tukisoma historia ya mtu mweus, vitabu vingi vimeelezea historia ya mtu mweus walau kidogo tumesoma historia ya Waarabu. Je, ushawahi kujiuliza kuhusu wazungu: - Wametokea wap!? - Nini asili yao (Asili yao ni wapi)? - Kwanini kwenye filamu nyingi za kiimani Mzungu ana-act...
  4. bakar shomar

    Serikali ifungie tovuti zote za pichani za ngono ili kuokoa vijana wetu

    Ni mipango kabambe na mahususi iliyoandaliwa na cult flan flan ili tu kwenda kinyume na Mungu anavyotaka Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bakar shomar

    Serikali ifungie tovuti zote za pichani za ngono ili kuokoa vijana wetu

    Waungwana hizi ni biashara za watu na inawezekana kabisa hao watu wakawa ni vigogo wakubwa ambao hawagusiki kirahis. Acha tuenjoy mana kuna wadada wanaringaga sana mwisho wa siku tunawaona kwa Porn Video local blogs au channels. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. bakar shomar

    Teknolojia gani ni kubwa zaidi kutokea duniani?

    Waliogundua filters,pics aedit,carolyte na make up walitisha sana mana sasa ivi hakuna wadada weusi Tanzania Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bakar shomar

    Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

    Hawa jamaa wana mipango mikubwa inayoogopesha sana na hawa kina Rockefeller na Rothschilds ni vibaraka tu Wale makonk wenyew familia 13 ni zile familia za Papal Bloodline Sent using Jamii Forums mobile app
  8. bakar shomar

    Jielimishe mwenyewe, waelimishe wengine. #Agenda ya Kifo. Bill Gates sio mwenzetu Chanjo ya COVID-19 ni Mwanzo tu

    Nilichoskia na kusoma ktk baadhi ya majalida na vitabu ni kuwa huyu jamaa(Bill Gate) ni puppet wa illuminate anatumiwa kutekeleza matakwa ya wanaoendesha dunia hii kuhakikisha anaandaa mifumo tegemezi na angamizi kwa ignorant debt slave ambao ni sis Sent using Jamii Forums mobile app
  9. bakar shomar

    Ukitaka kuoa au kuolewa hakikisha unamshirikisha baba au mama yako

    Kwa Mimi nilichomuelewa mtoa mada ni kwamba kama huna wazazi wawil au mmoja basi utaweza kuwaona walezi wengine wa karibu zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. bakar shomar

    Tuambizane wimbo gani wa Mama uliwahi kukubamba?

    Dear Mama - Tupac Mama - Christopher Martin My songs for Mama most of time Sent using Jamii Forums mobile app
  11. bakar shomar

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Sidhan kama China alihusika ktk kuvujisha iki kirus, kwa kufkiria kwangu hii ni vita baridi ya kiuchumi kati ya hizi super power countries Pia sidhan kama China kajitengenezea kirus ili kuua raia wake ambao ndo wajenga uchumi na ustawi wa nchi ya China Naomba kuwasilisha!! Sent using Jamii...
  12. bakar shomar

    This is not a suicide note

    Mkuu iyo ni depression na mentally illness pia ukiwa unawaza sana itakuja kuwa psychological problem,,Na hii inatokea endapo kuna kitu ulipanga uwe nacho ktk stage flan ya maisha sasa umekikosa,,wahi kumuona daktar wa psychology ataweza kung'amua tatizo lako Sent using Jamii Forums mobile app
  13. bakar shomar

    This picture was taken in 1963 at White House Washington DC

    Hahahaaa mkuu Mungu anakuona
  14. bakar shomar

    Ugonjwa wa mawazo kwa wanadamu

    Habari zenu waungwana Leo naomba tujadiliane kuhusu ugonjwa mkubwa wa mawazo (Stress disease) ambao naamini 99% au 100% ya watu wote duniani wanakumbwa na ugonjwa huu ambao haujulikani au umesahaulika miongoni mwetu Ugonjwa wa mawazo (suriya) (stress disease) upo wa aina nyingi kulingana na...
  15. bakar shomar

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Hahahaa braza tuwasubiri maBoss wenzetu waje kwenye uzi wetu
Back
Top Bottom