Recent content by Bahundejr

  1. B

    Wewe dereva au mmiliki, huwezi kupata LATRA ya gari yako kama dereva wako hajajisajili LATRA

    Nakuelewa lakini ni bora ipunguzee ili tusiendelee kuishi kwa mazoea unao watete wana experience lakin ndio wanaongoza kwa fujo barabarani
  2. B

    AZAM TV Mjitafakari na Bei Zenu za Ving'amuzi, DSTV Wameamua

    unapata channel gan? tatzo hilo
  3. B

    Kipi unatakiwa ufanye endapo mkeo akikunyima unyumba?

    muda mwingne jichunguze wap umekosea na sio kirahs mkeo wa ndoa kukunyima usifikirie negative tu waza na ww wap umekosea au inawezekana anaumia maana wengne kama sis tumejaaliwa mashine mtu analia tu muda wote anaumia haenjoy sex so jitafakar mkae chini muyajenge kila kitu kitakuwa sawa othrwse...
  4. B

    Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

    mimi yanga ila goal la jana ni goal zur na la halal uzembe ni wa azam watatutia aibu huko mbelen wajifunze kaangalie game ya madrid na sevila tena bora lile ndio utajua uzembe kama ule hautakiw walitakiwa watie mpira kwapan huku wanabishana na muamuz au mmoja atande kwenye mpra
  5. B

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    azam walikuwa wanapoteza mda tu wapuuz lile si tawi la simba unazan wange kuwa wanacheza na sjsi wange fanya uzembe ule sema safi my wetu kaja mwenyew gheto
  6. B

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    young african the biggest team in Tanzania tuko laz watangaze ubigwa kwetu tarehe tatu ila sio kutufunga final kigoma never ever happen 27 july 2021 bakar ajiandae kunyanyua kwapa
  7. B

    Kwa wajuzi wa magari naomba msaada

    Mad Max, Umemaliza basi inatosha haina haja ya kuongezea tutaongopeana safi kama sio fundi basi unaelekea kuwa fundi
  8. B

    Yanga

    Hana shida
  9. B

    Kwa mtu mwenye tsh. 200,000/- hii hapa hela ya bure tsh. 347,200/- kwa sekunde tu

    Kubet sio pouwa unajipa uhakika kaama ww ndio referee
  10. B

    Watanzania hutumia asilimia moja ya akili zao

    Inawezekana kwa kuwa hata yeye hutumia hiyo 1 % ya akiili ndio maaana akaandika hvyoo
  11. B

    Kula mgahawani na kupika mwenyewe kipi kinamaliza pesa kwa upande wako?

    Kupika kwa siku moja ni gharama lakin kama yatakuwa ni mazoea sio gharama kwanza unaweza pika wali ngoma ikaapigika mchana na jion moja mara 2 jiwe moja ndege wa wili lakin ukisha taaka kujitia ham ya ugali leo kesho pilau kesho birian aaah lazima utasanda Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom