Watanzania hutumia asilimia moja ya akili zao

Rockefeller

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
1,196
2,151
Cs4B7D9WcAAnOla.jpeg
Na bwana Biubwa Maingo wa Taasisi ya Namaingo.
 
Ukiwa chadema ni majanga zaidi kwenye uwezo wako wa kufikiri ,maana hata hiyo 1% inachukuliwa na Mbowe.
 
basi sisi watanzania ni magenious sana yani,mambo yote yanayoendelea kumbe ni ka 1% tu ndo tumetumiaa ?

Mimi nikajua atasema tumetumia 100% ya akili zetu,ningesema sasa tanzania isubiri kuharibika kwa sababu uwezo wetu wa kutumia akili umefika mwisho.

Lakini bahati nzuri tumetumia 1% mpaka sasa,kwa maana tukitumia 10% tutakuwa juu kileleni kabisa hukoooooooooo.

Mungu ibariki tanzania,Mungu wabariki watanzania
View attachment 1123762Na bwana Biubwa Maingo wa Taasisi ya Namaingo.
 
Back
Top Bottom