Mwanzo madai ya M23 yalikuwa kwamba jamii ya banyamulenge iliyokuwa ikiishi boma Kwa wingi ilikuwa inaonewa hivo wakaunda kundi Kwa ajili ya kujilinda , ila sasa wanaitaka Congo yote Kwa ujumla Hawa M23 Wana ajenda Yao nyuma ya pazia iweje wasisalie Goma kwanini wanaitaka Congo yote je wao ndo...
Binafsi sio mkabila , nimekaa sana na wachaga sio wote ni wabinafsi lakin Wengi wao Wana Imani kwamba wao ni Bora kuliko makabila mengine tanzania kitu ambacho sio kizuri, unajua mtu akishakuwa na Imani ya kwamba yeye ni Bora kuliko wengine kinachofuata mnakijua , ubinafsi, uporaji, upendeleo...
Jacqueline ni Mke halali wa Mengi na tayari alishakuwa na watoto ,, Lakini pia Mengi alikuwa na Mke mwingine ambaye tayari Alishakuwa na watoto wakubwa, hivo busara hapa itumike baina ya wanafamilia , Jacqueline kama Mke halali apewe stahiki zake na Mke mkubwa wa Mengi apewe stahiki zake , ndugu...
sababu ya kubishana humu Mimi sijaiona, kwanza WAZUNGU na WAARABU wote ni MBUZI wapuuzi yaaani waafrika tumekuwa kama KONDOO vile tunavowashobokea Hawa watu kwanini tusipende asili yetu na mambo yetu na kuachana na mijadala ya kishenzi namna hiii ,,,,
Lugha iliyotumika ni hatari sana na inahamasisha uhasama mbaya, ” WAHAMIAJI HARAMU“ Kwamaana hiyo wazanzibari wote waliopo bara wote ni WAHAMIAJI haramu ukijumuisha na kiongozi wetu mkuu wa serikali?
China wanazungumza kiingereza,? Japan wanazungumza kiingereza? South Korea wanazungumza kiingereza? Russia wanazungumza kiingereza? North Korea wanazungumza kiingereza? Malaysia wanazungumza kiingereza? Singapore wanazungumza kiingereza? Matafaifa yapo mengi yasiyozungumza kiingereza na...
Mawazo ya namna hiii kuendelea n ngumu, Cha msingi njia ya kudhibiti hayo maji itafutwe, hiv mfano mwepesi fikiria kama nchi za magharibi zingekuwa zinaogopa nuclear power kuzalisha umeme kwa hofu ya uhatali wake Leo hii umeme wa nuclear ungekuwepo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.