Recent content by Bagrameshi

  1. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Official: Wimbo mpya ya Roma Mkatoliki - Zimbabwe

    Daud wa dsm, john wa mjengon ambaye wayahudi (mafisi) wanamwita Yohana kwa maana amekuja kutengeneza nchi si huwa anajitapa at anainyoosha.
  2. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    asante sana mkuu
  3. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    hahahaha we hiyo namba inasomwaje?
  4. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    asante nimekuelewa
  5. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    KABISA NAKUBALIANA NA WEWE
  6. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    ASANTE MKUU
  7. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

    Akae kimya yeye ila wengine tutaendelea kusema kwa kuwa taifa ni letu na si la watu wachache. VYETI FEKI BENI YUKO WAPI? WAKUNA ROMA WAKO WAPI? UTAWALA WA SHERIA.
  8. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    Aaisee kaka ukweli hamna kabisa maana matumizi yamekuwa makali sana ukizingatia familia zetu za kusaidiana yaani umekuwa mtihani mkubwa, ila tokea nianze kuwanza hili nimeanza kuweka akiba mwaka huu january mpaka nimefikisha laki 9 tu
  9. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    ASANTE MKUU
  10. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    sawa kaka ila si vema kukurupuka nisaidie ushauri wa kiuchumi.
  11. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi ya ualimu, naombeni ushauri.

    Habari za muda huu wana JF, Mimi ni mwalimu wa shule za msingi, nimefanya kazi hii takribani miaka 7 sasa tangu 2009 hadi sasa. Pamoja na juhudi kubwa sana za kusaidia kizazi cha watanzania bado watanzania hasa watawala wameendelea kutudhalilisha walimu badala ya kutusaidia hasa kiuchumi...
  12. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    mi nadhani nitaongea kichina
  13. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

    aisee wakuu hata mimi niko hivo hivo sa mimi tatizo kubwa limekuwa kutopata hamu ya kupiga simu kwa watu na ndugu zangu mpaka niwe na shida nao na mara nyingi wananilaumu kuwa siwapigii simu, muda mwingi niko nyumbani nahisi kama ninatatizo; aisee wakuu tusaidieni.
  14. Bagrameshi

    JamiiForums Tanzania Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    sasa wakuu m kuhusu maumbile vp sie wengine wafupi sana, sa inakuwaje? yukioa wafupi kama sisi si tutazaa mbili kimo? tunatamani wanawake warefu ili kubalansi kidogo.
Back
Top Bottom