Recent content by bagain

  1. B

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Msongola kata ya Msongola Ilala kuna shule ya English Medium ya Serikali
  2. B

    Mwendokasi kutotumia njia ya Jangwani na Mkwajuni sababu ya Mafuriko

    Kibiashara hizo gari kwa sasa wazipeleke njia ya MBAGALA. 1. Barabara imekamilika (kwa macho ya kawaida) 2. Abiria ni wengi (wateja) 3. Ni matumizi mazuri ya resources (magari yao) 4. Watapata faida
  3. B

    Teknolojia ya kuprint picha na kubandika kwenye photo frame za mbao

    Picha za size ya A4 na A3 unaweza kuprint kwa printer hizi za kawaida tu kama epson, hp, canon n.k zenye kutoa quality nzuri ya picha. Printer za A4 ni bei rahisi around laki 4, 5, 6 n.k. za A3 nzuri around milioni 2 za epson. Kwa picha za size ya A2 na A1, zinatumika large format printer.
  4. B

    Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

    Kila taasisi au shirika la serikali lina ajiri kupitia PSRS, hawa TPDC si kazi zao zilitangazwa huko utumishi hivi karibuni?
  5. B

    Msaada Photoshop CC portable

    Asante sana ndugu, nimeshapata kwa mtu.
  6. B

    Msaada Photoshop CC portable

    Wadau wa jukwaa la Technology, msaada wenu inahitajika. Ninahitaji hiyo software, computer yangu ilileta shida ikanilazimu niweke window upya.
  7. B

    Hivi kuna wanandoa ambao hawachepuki kabisa?

    Kuna habari ya nabii mmoja anaitwa Eliya, basi siku moja akamwambia Mungu kuwa amebaki peke yake tu na adui zake wanatafuta kumuua. Mungu akamwambia ninao manabii wengine 700 ambao hawaja abudu kwa miungu. Ndivyo watu wengi huwa tunachukulia mambo, kwamba maadamu jambo la kuchepuka linatangazwa...
  8. B

    Natafuta Gypsum board za Thailand

    Habari wama JF, Nina hitaji Gypsum board za Thailand, anayejua duka zinapopatikana au kama ni mfanyabiashara nijulishe. Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam
  9. B

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    kama unaweza nunua printer yenye uwezo wa ku scan
  10. B

    Teknolojia ya kuprint picha na kubandika kwenye photo frame za mbao

    Ni rahisi, anza na picha yako au picha zako mbili tatu NZURI kabisa, kisha tumia hizo kutafutia wateja.
  11. B

    Biashara ya design na printing

    L805 - ukitumia wino wa sublimation unaweza kuprint sublimation papers ambazo zinatumika kwa ajili ya vikombe, sahani, chupa za maji n.k - ikiwa na wino wa kawaida unatumia kuprint picha, labels, vipeperushi,n.k . Japo quality ya print yake haidumu sana. Pia unaweza kuprint transfer papers...
  12. B

    Biashara ya design na printing

    Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi. Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili 1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya...
  13. B

    Nahitaji mayai ya kienyeji kwa bei ya Jumla

    10,000 iko chini sana Mimi ni mfugaji wa Kuroiler (Chotara), bei ya kuuza mayai ni 12,000. Pia yana kua na kiini cha njano
  14. B

    Tunatoa huduma ya Printing

    Tunatoa huduma za Digital Printing kwa vitu mbalimbali kama ~Vipeperushi ~business cards ~labels ~ID cards, kadi za harusi ~na documents mbalimbali. Quality ya kazi ni nzuri, utahudumiwa vizuri kwa bei nafuu kutegemeana na idadi ya pages unazoprint. Tunapatikana Kariakoo makutano ya mtaa wa...
  15. B

    Tunatoa huduma ya Printing

    Kwa kwenye mahitaji ya Graphics design na printing usisite kuwasiliana nasi kwa namba 0762 182398. Tunapatikana Kariakoo, Dar es Salaam. -Business cards -Posters -Book covers -Receipt books -ID cards -n.k n.k
Back
Top Bottom