Kibiashara hizo gari kwa sasa wazipeleke njia ya MBAGALA.
1. Barabara imekamilika (kwa macho ya kawaida)
2. Abiria ni wengi (wateja)
3. Ni matumizi mazuri ya resources (magari yao)
4. Watapata faida
Picha za size ya A4 na A3 unaweza kuprint kwa printer hizi za kawaida tu kama epson, hp, canon n.k zenye kutoa quality nzuri ya picha. Printer za A4 ni bei rahisi around laki 4, 5, 6 n.k. za A3 nzuri around milioni 2 za epson.
Kwa picha za size ya A2 na A1, zinatumika large format printer.
Kuna habari ya nabii mmoja anaitwa Eliya, basi siku moja akamwambia Mungu kuwa amebaki peke yake tu na adui zake wanatafuta kumuua. Mungu akamwambia ninao manabii wengine 700 ambao hawaja abudu kwa miungu.
Ndivyo watu wengi huwa tunachukulia mambo, kwamba maadamu jambo la kuchepuka linatangazwa...
L805
- ukitumia wino wa sublimation unaweza kuprint sublimation papers ambazo zinatumika kwa ajili ya vikombe, sahani, chupa za maji n.k
- ikiwa na wino wa kawaida unatumia kuprint picha, labels, vipeperushi,n.k . Japo quality ya print yake haidumu sana.
Pia unaweza kuprint transfer papers...
Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.
Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili
1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya...
Tunatoa huduma za Digital Printing kwa vitu mbalimbali kama
~Vipeperushi
~business cards
~labels
~ID cards, kadi za harusi
~na documents mbalimbali.
Quality ya kazi ni nzuri, utahudumiwa vizuri kwa bei nafuu kutegemeana na idadi ya pages unazoprint.
Tunapatikana Kariakoo makutano ya mtaa wa...
Kwa kwenye mahitaji ya Graphics design na printing usisite kuwasiliana nasi kwa namba 0762 182398. Tunapatikana Kariakoo, Dar es Salaam.
-Business cards
-Posters
-Book covers
-Receipt books
-ID cards
-n.k n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.