Recent content by Bagabeach

  1. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mbona hamsajili, EPL sio mchezo wazee hatutaki mhamie arsenal kweny mbio za ubingwa next season
  2. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hao niliooridhesha wote ni CBs lkn LB na RB tunao na tunao wanaoweza kucheza CBs km shaw na mazraoul Kuhusu depth me sioni shida, kocha na wachezaji wajitahidi tu wawe na viwango vizuri msimu huu Lkn project ya arsenal ilitangulia, hatujiliganishi lkn kuhusu kushindana uwanjani tunaweza...
  3. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu fuentte arsenal ametutangulia na level za kusajili majina ya kina tielemans amevuka Km usajili wa mwaka huu utalipa, basi na sisi msimu ujao tutaanza kusajili majina makubwa maana tutataka upgrade zaidi sio maintenance No excuse km kocha wetu ni brilliant basi itabidi a sacrifice baadhi...
  4. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Heaven na yoro ni CBs wazuri siwez kuwapuuza Kwani arsenal nje ya gab na saliba mna depth kias gani?? Lakini sio lzm tufanane na arsenal, pia bado tunatengeneza timu nyie mnavuna timu
  5. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Toa sababu kwann atakula vipigo mzee Tactical reasons au unatusema tukose amani na ligi ikiwa bdo kuanza
  6. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Upana upi unautaka?? United depth ya kikosi ipo CBs wapo Maguire Heaven Yoro, Delight Martinez Arsenal unao wangapi?? Total midfielders wapo Fernandes Mount Santos Ugarte Lacey Fletcher Jack Fletcher Maino Tielemans Na Bado tunasajili mwingine mmoja Timu tunayo, na tuna morali ya...
  7. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tukutane ligi ikianza, title contender top ni united na arsenal Punguza dharau
  8. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hata wewe long time no see
  9. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    EPL timu kubwa ambazo vini anaweza kwenda ni man city na man united tu, kdg na chelsea
  10. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Zamalek watishia kujiengua mashindano ya klabu bingwa Afrika

    Caf ni ajabu wanafanya ujinga huu
  11. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Trust process brother
  12. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwanini tuamini project ya INEOS ya Man United kuchukua EPL 2028 1. Usafi wa uongozi wa mpira INEOS wamechukua udhibiti kamili wa idara ya mpira. Wamewajiri Omar Berrada, Dan Ashworth na Jason Wilcox. Maamuzi ya usajili na mipango ya timu sasa yanafanywa na wataalam wa mpira. 2. Pesa + nidhamu...
  13. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nakulewa lakini naweza kukupinga kidogo mkuu
  14. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Karibu mkuu Ineos nadhani hili dirisha wanaleta viungo watatu nadhani atakuja baleba kama bei yake wataona inafaa Attacking phase tulijenga msimu uliopita, saiv tunajenga kiungo imara. Tutaona, tusibrie
  15. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Rashford itabidi tumtoe Kwa namna yoyote, Beki ya kushoto ni muhimu sana lkn sioni dalili km tutasajili dirisha hili, labda wafanye surprise kama mtindo wao huu mpya Vp carrick, munamuamini ??
Back
Top Bottom