Sio hatima, nataka nione atatoa impact gani kweny kiungo.
Wachezaji ninao wengi wa kutengeneza rashfod, bruno, mbeumo, cunha, sesko, lammens, maino, Martinez etc lkn timu kuperfom inataka vitu vingi physically, mindset, technically (hii anakuwa nayo mchezaji na nyingine ni impact ya bench la...