Recent content by Bagabeach

  1. Bagabeach

    Ni wakati wa Musonda kuondoka Yanga

    Binafsi naona atoke 1: skudu 2: lomalisa Kwa wazawa waanze na kibabage, dogo sijui kwann anapata namba lakini hafai kabisa
  2. Bagabeach

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Utauona next season....sema jamaa ukimsikia anatia mashaka kiasi
  3. Bagabeach

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bado niko na ETH hatuna wachezaji bana. Uongozi mpya uingie
  4. Bagabeach

    Luambano wa Clouds FM awashauri Simba kuachana na Mo Dewji

    Mo kutoka simba labda muigawe simba 51% kwa 49%. Nyie shinikizeni uongozi mpya Try again na C.E.O wawapishe Majula kwa football hawezi kabisa Mo yuko mbali sana kwa kuanza kumhoji Hela anatoa CEO aulizwe yeye ndio mtendaji mkuu kuliko mo, try again na mangungu boy
  5. Bagabeach

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hopeless fc Hamchukui kombe lolote msimu huu Mnamaliza 3rd position means next season mnamaliza 4th position Overlap, overload, aerial duel won ndio kitu mutabeba. UKWEL MCHUNGU HUU. HOPELESS FC, Chelsea atarudi aichukue EPL na UEFA nyie bado mkiwa na style of playing na takataka nyingne...
  6. Bagabeach

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Call me KDB. Mlisema odergaad ni mzuri kuliko KDB Leo mtaona uhalisia
  7. Bagabeach

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Umempiga kichwani, damu zinavuja na kakosa furaha😅
  8. Bagabeach

    Nani anaikumbuka ya Raja Casablanca?

    😅😅 jamaa alikuw simba, mambo magumu saiv....me ananichekesha
  9. Bagabeach

    Kwanini hujatoboa mpaka leo?

    Kuwa tajiri ni kuinyima roho
  10. Bagabeach

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii ipo madrid Anyway nowadays mko makini Lkn kitu hamuwezi ni kuzuia mdomo lkn mnajitahidi sana kwa sasa
  11. Bagabeach

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sijui chochote lakini man u tunaweza kumfunga yyte EPL
  12. Bagabeach

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😀😅😅 mmefika mbali
  13. Bagabeach

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Msimu uliopita alikuw na mafanikio kuliko nyie nyani....style of playing, overlap hayo sio mafanikio wew tahira. Yale yale ya CEO wa simba kweny mafanikio ya klabu anaweka hadi kufungua WhatsApp channel. Msimu uliopita sisi tulikuwa successfully kuliko nyie kenge Muulize huyo 😅@hamis77 wenu...
Back
Top Bottom