Recent content by Bagabeach

  1. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tunacheza slow sana...inafanya wapizani wazibe mianya iliyokuwa wazi. Lkn tunashida hii
  2. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  3. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Inafaa tushinde. Maino, tielemans, Bruno wanafaa wawe Bora leo GGMU
  4. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Unakumbuka ulivokuwa unasema kuhusu man u. Dharau zako ni extraordinary
  5. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Man city saiv ana wachezaji wazuri, bdo hajapata timu inayocheza vizuri Pia Wana kocha mpya, lkn ushabiki nimeweka pia🤣
  6. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    @Hziyech anakwambia Chelsea ni timu bora sana. Me nlishasema EPL mpk sasa nje ya arsenal ambae ni bingwa, basi united anafatia Timu sio usajili tu
  7. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Familia
  8. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Maino mwaka huu wa moto sana
  9. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Timu ninayo nzuri, sema matokeo ndio yanaleta maneno mengi. Lkn saiv nalia na mindset za wachezaji, na kocha namlaumu Kwa selection ya kikosi haswa sesko kuanzia nje ( labda sababu alikuwa injury) Pili naona anazngua kweny sub, na tatu namlaumu hajui kuamusha morali ya wachezaji haswa tukiwa...
  10. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu kuna mengi ya kusema, ngonja tuendelee kuangalia. Game ya Leo na ya jpili zitanipa neno lingine la kusema.
  11. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tusubrie
  12. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Siihukumu Chelsea Kwa game vs arsenal tu, me nimewaona game nyingi. Hamna beki, haswa aerial duels ni wabovu zaidi. Hamna njia nyepesi, labda mpambane sana
  13. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sio hatima, nataka nione atatoa impact gani kweny kiungo. Wachezaji ninao wengi wa kutengeneza rashfod, bruno, mbeumo, cunha, sesko, lammens, maino, Martinez etc lkn timu kuperfom inataka vitu vingi physically, mindset, technically (hii anakuwa nayo mchezaji na nyingine ni impact ya bench la...
  14. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tunajenga timu, but we have to compete Mmeshika nafasi ya pili mara kadhaa wakati mnajenga, mpk sasa mmekuwa mabingwa na ni top contender wa ubingwa.
  15. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Inafaa afanye sacrifice ya ligi na UEFA. Fa na carabao tuzipotezee. Ligi ndio inatoa mlango wa kushiriki UEFA, UEFA nayo inakupa nguvu kweny usajili. Sina beki nzuri, na kiungo Bado Ina utoto, nasubria impact ya baleba Kisha nitajua tulivyo zaidi Chelsea nae bdo ni mweupe ata struggle big...
Back
Top Bottom