Hao niliooridhesha wote ni CBs lkn LB na RB tunao na tunao wanaoweza kucheza CBs km shaw na mazraoul
Kuhusu depth me sioni shida, kocha na wachezaji wajitahidi tu wawe na viwango vizuri msimu huu
Lkn project ya arsenal ilitangulia, hatujiliganishi lkn kuhusu kushindana uwanjani tunaweza...
Mkuu fuentte arsenal ametutangulia na level za kusajili majina ya kina tielemans amevuka
Km usajili wa mwaka huu utalipa, basi na sisi msimu ujao tutaanza kusajili majina makubwa maana tutataka upgrade zaidi sio maintenance
No excuse km kocha wetu ni brilliant basi itabidi a sacrifice baadhi...
Heaven na yoro ni CBs wazuri siwez kuwapuuza
Kwani arsenal nje ya gab na saliba mna depth kias gani??
Lakini sio lzm tufanane na arsenal, pia bado tunatengeneza timu nyie mnavuna timu
Upana upi unautaka??
United depth ya kikosi ipo
CBs wapo
Maguire
Heaven
Yoro,
Delight
Martinez
Arsenal unao wangapi??
Total midfielders wapo
Fernandes
Mount
Santos
Ugarte
Lacey
Fletcher
Jack Fletcher
Maino
Tielemans
Na Bado tunasajili mwingine mmoja
Timu tunayo, na tuna morali ya...
Kwanini tuamini project ya INEOS ya Man United kuchukua EPL 2028
1. Usafi wa uongozi wa mpira
INEOS wamechukua udhibiti kamili wa idara ya mpira. Wamewajiri Omar Berrada, Dan Ashworth na Jason Wilcox. Maamuzi ya usajili na mipango ya timu sasa yanafanywa na wataalam wa mpira.
2. Pesa + nidhamu...
Karibu mkuu
Ineos nadhani hili dirisha wanaleta viungo watatu nadhani atakuja baleba kama bei yake wataona inafaa
Attacking phase tulijenga msimu uliopita, saiv tunajenga kiungo imara.
Tutaona, tusibrie
Rashford itabidi tumtoe Kwa namna yoyote,
Beki ya kushoto ni muhimu sana lkn sioni dalili km tutasajili dirisha hili, labda wafanye surprise kama mtindo wao huu mpya
Vp carrick, munamuamini ??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.