Daaah kuna mdogo wangu analipwa 80k kwa kazi ya kuuza duka la dawa. chumba cha kulala tuh ndio sehemu ya mshahara ila msosi, n.v vyote ni nje ya mshahara kwa mwezi so sad
Petro hakutembea na panga wakati wote!!! Sikilizeni. Ukisoma maandiko petro alikua akitembea na panga wakati Yesu Kristo katika mwili yupo duniani, na kwa wakati ule bado hawakujazwa na Roho Mtakatifu hivyo petro alifikiri kimwili zaidi.
Ukisoma kuanzia matendo 2 Roho Mtakatifu anashuka, hapo...
Am very Christian young, bado sijaoa but vitimbi nilivyovishuhudia kwa watu kuhusu ndoa am very tired. Najikuta nachoka mno tena Sana, kila ndoa ina vitimbi vyake.
Okay asante kwa majibu yako nashukuru Sana. Mimi sifuati kununua coins kaka. Kuna kitu tofauti nakitafuta huko ambacho tofauti na kuhold coins. So kama Una vitabu nipatie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.