Recent content by Bado natafuta

  1. Bado natafuta

    Naomba Bakita iingilie Kati kwani tafsiri ya John 1:18 kwenda lugha ya kiswahili imepotoshwa kwa makusudi maalumu

    Hili nitakujuza vizuri bila shida Mungu tangu mwanzo Hana theologia, theologia zote ni za ibirisi. Tuludi kule bustanini walipokuwepo adamu na hawa, Mungu alikuja na Neno lake "fanyeni hivi na hivi, msifanye kile" ibirisi akaja na elimu yake kumbuka tunaambiwa yy alikua mwerevu mno ana hakili...
  2. Bado natafuta

    Naomba Bakita iingilie Kati kwani tafsiri ya John 1:18 kwenda lugha ya kiswahili imepotoshwa kwa makusudi maalumu

    Hakuna utatu wa Mungu kwenye bible Mungu ni mmoja mwenye nafsi moja Tu.
  3. Bado natafuta

    Naomba Bakita iingilie Kati kwani tafsiri ya John 1:18 kwenda lugha ya kiswahili imepotoshwa kwa makusudi maalumu

    Mkuu hakuna utatu mtakatifu kwenye bible kuanzia mwanzo hadi ufunuo hakuna utatu mtakatifu, utatu mtakatifu ni fundisho la uongo. Mungu kumbuka Mungu anapenda ushirika hivyo lazima akae na jeshi lake mbinguni. Hebu soma 1wafalme 22 uone nabii mikaya aliona nini mbinguni Mungu alikaa na kina Nani...
  4. Bado natafuta

    Waliohudhuria kikao cha wawekezaji UTT

    Samahani mkuu Mimi naomba hii pdf nipate elimu pia kama Una pdf nyingine zinazohusu utt na uwekezaji mwingine nisaidie nipate elimu Nina mpango wa kuanza uwekezaji [emoji120][emoji120]
  5. Bado natafuta

    Majaliwa Jackson ameajiriwa wapi na kitengo kipi?

    Mimi sijaiona mkuu hebu tujuze kwa lugha fasaha boss.
  6. Bado natafuta

    Majaliwa Jackson ameajiriwa wapi na kitengo kipi?

    Mkuu nataka nipate uelewa tu wa kitu furani!!
  7. Bado natafuta

    Majaliwa Jackson ameajiriwa wapi na kitengo kipi?

    Okay, hivi ajira yake ipoje ameajiriwa Ile siku aliposema waziri mkuu kwenye msiba wa wale walipoteza maisha ama baada ya kuhitimu mafunzo?
  8. Bado natafuta

    Majaliwa Jackson ameajiriwa wapi na kitengo kipi?

    Habari wakuu kama inavyosema title hapo juu. Ikumbukwe mwaka Jana ilitokea ajali ya ndege kule bukoba na hata hivyo alipatikana kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la majaliwa ambaye amejizolea umaalufu kwa ujasiri alioonesha kwa kuokoa maisha ya watu. Je, majaliwa amepata ajira? Amepata ajira...
  9. Bado natafuta

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nampata huyu fighter ila amepotea mno.
Back
Top Bottom