Ushauri: Tumuache asome diploma au aende kidato cha tano?

Ushauri: Tumuache asome diploma au aende kidato cha tano?

Kama lengo lake ni PCB mpelekeni private.ili akimaliza aende degree moja kwa moja .
But kama mwenyewe kasema anataka physiotherapy mpelekeni ni kozi nzuri japo mngemwambia pia kuhusu diploma ya dental
Kwanini aambiwe diploma ya dental kuna nini huko?
 
Atakuw anapoteza muda wake bure hakuna jipya kulee...
Akipita certifictate/diploma atakuw na competitive advantage kubwa kuliko kama angapitia advance;
1. Atakuw na vyeti viwili kama sio vitatu. Zikitangazwa ajira za diploma na degree anaweza kuomba
2. Diploma/certificate unakuwa mjuzi sana kwa fani husika kuliko advance kule n kama secondary tu primary ndiomana vyetii vyake havichukuliwi kama vyeti vya ujuziii...n elimu 2 kama elimu msingi.

3. Social connection n kubwa kule college ataanza kujijenga mapema kifikra kimaisha...
Nyngne ongezeaa tu...
ila kama pesa zipo n heri apitie certificate-diploma-degree-masterz-phd

Kwanini asiende advance?
 
Atakuw anapoteza muda wake bure hakuna jipya kulee...
Akipita certifictate/diploma atakuw na competitive advantage kubwa kuliko kama angapitia advance;
1. Atakuw na vyeti viwili kama sio vitatu. Zikitangazwa ajira za diploma na degree anaweza kuomba
2. Diploma/certificate unakuwa mjuzi sana kwa fani husika kuliko advance kule n kama secondary tu primary ndiomana vyetii vyake havichukuliwi kama vyeti vya ujuziii...n elimu 2 kama elimu msingi.

3. Social connection n kubwa kule college ataanza kujijenga mapema kifikra kimaisha...
Nyngne ongezeaa tu...
ila kama pesa zipo n heri apitie certificate-diploma-degree-masterz-phd
Asante
 
Habari za saizi
Nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana, amefanikiwa kupata division two, yeye anataka akasome diploma ya physiotherapy na ili asiende advance anasema itakuwa ngumu kuchaguliwa PCB amepata Physics -D Biology -C Chemistry -C Mathematics -C.

Je, tumuache tu aende diploma?
Mpeleke VETA
 
Mkuu ushauri wangu,huyo ni kijana mdogo mshauri asomee koz ambazo mabadiliko ya Artificial Intelligency hayataathiri sana career yake.Kuna kozi baada ya miaka 10 au 20 hazitakuwa na tija tena na soko lake litakuwa gumu sana.Angalia anachokipenda then fanyen research ya kutosha ili msije kujutia au kulaumu huko mbeleni.Nataman kama taifa tungejitahid kuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu AI ili kunusuru vyuo vyetu na watoto wetu.Chukulia tu mfano wa Gun massage na mashine zinazojiendesha zenyewe hospital kusaidia egronomic za wagonjwa wengi.Njoo DM tuyajenge zaid
Hii yote sababu ya kutafuta kuajiriwa. Imagine unagive up ndoto zako kwa ajili ya ajira. Hii kitu kwa upande wangu nilikaa, nilichagua kusoma ninachopenda.

Mambo ya soko soko matokeo yake mtu anasomea udaktari ambao sio wito wake matokeo yake anaenda kutesa wagonjwa.
 
Kwanini ?
Mtu anaomba ushauri kwa watu wenye uelewa na mambo ya elimu, anatokea mtu asielewa chochote kuhusu elimu anaandika visivyo na maana mbali na alichouliza, mambo ya Fecebook haya.
 
Mtu anaomba ushauri kwa watu wenye uelewa na mambo ya elimu, anatokea mtu asielewa chochote kuhusu elimu anaandika visivyo na maana mbali na alichouliza, mambo ya Fecebook haya.
Sahihi kabisa Mkuu
 
Back
Top Bottom