Recent content by bad spenko

  1. bad spenko

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Duuuh upo kama mimi mkuu.. Sijawahi kuona ushubwada wowote sijui takataka gani hizo kwanz siamini kama vinaweza kujichukulia maamuzi ya kunifanya jambo lolote baya japo naamini vipo. Natembea usiku mkubwa na sehemu nyingine zinahadithi kama hizo lakin sihisi wala kuona chochote japo kwa...
  2. bad spenko

    Unadhani Mwanga ndio kitu chenye spidi ya juu kushinda kila kitu? Vipi kuhusu hili jambo?

    Na mwanga si kitu kutokuwepo kwa giza Unasemaje?
  3. bad spenko

    Kwanini Wewe pia ni Muhimu katika Ubunifu wa Kutengeneza wa Ulimwengu?

    Umuhimu wenyewe mbona hujauonyesha sasa mkuu Tuliza akili thread yako imekua ngumu kueleweka
  4. bad spenko

    Simulizi: Wizi wa Benki

    Acha kukopy mkuu, kuna sehemu umekopy humu humu jf huu uzi wako
  5. bad spenko

    Usiombee kukosa hela

    Adi ukipewa buku unaona kama umepewa million yaani adi bodaboda unawaona matajiri.
  6. bad spenko

    Niliyojifunza baada ya kupoteza kazi

    Copy yangu mkuu, hujakosea
  7. bad spenko

    Mbunifu wa mchezo wa soka ni nani?

    Wakuu mwanzilishi na mbunifu wa soka ni nani? Na ulianza ktk taifa ganj na mwaka gani. Karibuni
  8. bad spenko

    Fahamu haya kuhusu kifo

    Ngoja waje
  9. bad spenko

    Ni siri gani iliyopo kati ya usingizi na kifo?

    Wakuu pamoj na majibu yote lakini sasa kwanini unapolala hujitambui na wala hutambui hapa kua nimelala? Wakati uu hai bado?
  10. bad spenko

    Ni siri gani iliyopo kati ya usingizi na kifo?

    Vipi kuhusu mtoto mchanga mbuzi, ng'ombe kuku nao ili mwili na brain vipumzike??????
  11. bad spenko

    Ni siri gani iliyopo kati ya usingizi na kifo?

    Interest.. Sasa kwanini ni lazima kulala mkuu
  12. bad spenko

    Ni siri gani iliyopo kati ya usingizi na kifo?

    Hakuna anayeweza kufanya hvyo mkuu kukaa macho kodo wiki nzima sasa ni kwanini yaani ni lazima kulala taka usitake
  13. bad spenko

    Ni siri gani iliyopo kati ya usingizi na kifo?

    Kwanini tunalala yaani ukimtizama mtu aliyelala au chochote kilicholala unaouwezo wa kukifanya chochote utakacho. Wakati huo huo hicho kiumbe kilicholala kipo hai. Bado natafakuri
  14. bad spenko

    Ni siri gani iliyopo kati ya usingizi na kifo?

    Nakubali mkuu; Sasa kwanini usingizi na kifo viwe na mahusiano?
Back
Top Bottom