99% inahusiana na Bima, kuanzia Life assurance, property and pecuniary, motor vehicle, Marine insurance, Engineering insurance na Reinsurance business na Liability insurance. Pia Claim issues za insurance.
Pia utasoma risk Operational risk pamoja na ERM framework, Namna ya Quantify, priotized...
Kwenye term ya market basi BTLM wako vizuri kuliko BIRM maana makampuni ya Bima yako 30 plus 1 Reinsurance, Ila kuna hifadhi za jamii, Banks na Sehemu nyingi tu ila kwa bongo department za Risk zipo kampuni chache.
BIRM ina cover eneo kubwa sana Finance, Social Security, Risk management, na...
Sifahamu matokeo hayo ni 2.8/4.0 au 2.8/5.0, kwa kweli hayo matokeo hayaridhishi lakini aendelee kulipiwa ada maana umebaki mwaka mmoja tu amalize diploma yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.