Recent content by Babyloni

  1. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia unapokuwa na watu wakubwa kama Viongozi wa nchi au Matajiri

    Well spoken brother nimepoteza deal kubwa sana sababu ya ujuaji usiokua na maana. Naendelea kujifunza ✍️
  2. Babyloni

    JamiiForums Tanzania KERO Kilio cha Watumishi wa Bugando: Changamoto, Unyanyasaji na Ukiukwaji wa Haki za Wafanyakazi

    Nadhani pia huyu Mkurugenzi wenu mpya ni tatizo, kanisa katoliki lina akiba ya watu makini wengi sana huyu mwanamama hatoshi
  3. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Huu Hapa Utapeli wa Serikali ya CCM

    Kuna Jamaa alifukuzwa kazi aka fatilia pesa zake kama 5M, akawa kashafanya research yake afungue biashara yake ya 5M Mwisho wa siku wamempa 30% anawauliza inakuaje hii wanamjibu kirahisi tu yeye ni bachelor holder hatachelewa kupata kazi, hawa mboga mboga ni zaidi ya mashetani huyu kijana...
  4. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Zinaa ni chanzo cha umasikini, vijana acheni zinaa

    Zinaa imenitafuna sana na kuua baadhi ya vipawa vyangu spiritual saizi ata nikipewa nafasi ya kuomba au kuhubiri kanisani nakosa confidence naongea uku natetemeka. Nashukuru na nazidi kumuomba Mungu azidi kunitoa katika kifungu hiki nilifikia stage ya kulala na wanawake watatu kwa siku ndo...
  5. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Mungu alitoa wapi wazo la kumuumba Binadamu? Haya ndo majibu

    Najaribu kuwaza how ulioliwa na bacteria na ku decompose na kuishia ardhini unadevelop vipi into another body?
  6. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Siri ya mafanikio ya wakatoliki hawajioni bora, hawaoni makanisa mengine kama watu wa nje, hawaingilii maisha ya ndoa, wamewekeza kwenye elimu, n.k.

    But Kanisa katoliki haliruhusu ndoa za mitala hii nayo alikaaje? Kwa upande wa babu yako kwa kuwa hakua akishiriki kwa lolote walikua sahihi kutofika japo uyo katekista alizingua kumsema marehemu bora angekausha tu
  7. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Siri ya mafanikio ya wakatoliki hawajioni bora, hawaoni makanisa mengine kama watu wa nje, hawaingilii maisha ya ndoa, wamewekeza kwenye elimu, n.k.

    Huyo babu yako hakua na pesa au cheo chochote maybe Mimi babu yangu alikua anasali ila ana wake wawili na wote wanatambulika, siku amefariki walikuja mapadri watatu kuongoza misa NB Babu alikua mtoaji mzuri sana kanisani na alikua kiongozi mkubwa serikalini
  8. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Unabadilisha simu kila baada ya muda gani? Na vipi vipaumbele vyako unavyobadilisha?

    Natumia i phone X niliyonunua Dubai mwezi mmoja baada ya kuzinduliwa na sina mpango wa kubadilisha nimebadili battery mara mbili Watu wangu wa karibu huwa wananitania na kunicheka ila sijari
  9. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Ni chakula gani ungekula kila siku bila kuchoka?

    Nimewahi kula wali maharage na mboga mboga kila usiku kwa mwaka mzima nilipokua Mtwara kikazi
  10. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Wazee wa kupiga deki hakikisha hili kwa usalama wa afya yako

    Hi inatokana na imbalance kati ya Good bacteria ( Normal flora) na Bad bacteria, Hivyo kumsababishia mwanamke kutokwa na uchafu (discharge) wenye harufu kali kama ya samaki mara nyingi ni baada ya ngono
  11. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Wazee wa kupiga deki hakikisha hili kwa usalama wa afya yako

    Yes mkuu vagina ina normal flora wengi wanao sustain kuishi maeneo hayo bila effect yeyote Kuwabadilishia mazingira kwa kunyonya ni kujitafutia matatizo tu
  12. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Wazee wa kupiga deki hakikisha hili kwa usalama wa afya yako

    Wapiga deki mna ujinga mwingi sana, kila siku lazima npate mgonjwa mwenye suspected bacteria vignosis na nyie mna lamba tu 🚮
  13. Babyloni

    JamiiForums Tanzania KERO Elimu bure lakini Shule ya Nyampulukano – Sengerema kuna upigaji mkubwa. TAKUKURU walifanya kazi yao, 'wakapozwa' wakaingia 'mitini'

    Hi shule ni ya kutwa hiyo michango ni makubaliano binafsi ya wazazi na uongozi wa shule kwa wanafunzi wanaotaka kukaa hostel Kwa kuzingatia gharama za uendeshaji ya hostel, hizo gharama ni sahihi kabisa mkuu NB Shule hii ina advance pia inayoendesha kwa mfumo wa bweni na serikali na hakuna...
  14. Babyloni

    JamiiForums Tanzania Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

    W Well response Kiranga
  15. Babyloni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    My love Elly ulibadilisha sana maisha yangu na kunifanya nitulie na wewe tu kipenzi changu Nilikua kijana mwenye uwezo mkubwa sana katika shule yetu O level ya boys tupu ambapo tulikua tumepakana na tunasali ( Misa za Asubuhi) na shule jirani ya girls tupo yenye watoto wazuri wengi na wakishua...
Back
Top Bottom