Recent content by Babyloni

  1. Babyloni

    Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

    Nina utaratibu wa kufua nguo kila baada ya miezi miwili na sina utaratibu wa kurudia nguo, kwa hiyo namiliki nguo nyingi sana zingine naweza vaa mara moja kwa mwaka au nisivae kabisa na zote hua ni brand new original na si mtumba NB: Kuvaa na kupendeza ni...
  2. Babyloni

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wenye wanawake wengine

    kipindi npo shule ( o level ) nling’oa demu aliyekua mzuri kuliko wote baada ya hapo kila demu alikua ananitaka nakumbuka waliniita SUKARI YAO.
  3. Babyloni

    Dkt. Ndugulile: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, siungi Mkono kupita bila kupingwa

    Acha kupotosha mkuu kura za kigamboni zilihesabiwa mubashara tukiwa tunashuhudia
  4. Babyloni

    Ulishawahi kujilaumu kwa kufanya starehe ya muda mfupi yenye madhara makubwa kwako?

    Dah scenario kama hii imenitokea jana 65k yangu imeenda ivi ivi asee
  5. Babyloni

    Ulishawahi kujilaumu kwa kufanya starehe ya muda mfupi yenye madhara makubwa kwako?

    Nlitoka msasani usiku saa tisa namfata Damu wangu Mbweni akaishia kunipa Gono
  6. Babyloni

    TV4Sale Nauza TV Smart, 4K

    Picha mkuu
  7. Babyloni

    Nahitaji msaada wa kisheria ndugu zangu

    Hama kituo mkuu wakazi wa Lindi wana roho mbaya sana ndio maana umasikini umewajaa
  8. Babyloni

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Huyu jamaa alisema episode 3
  9. Babyloni

    Uko tayari mtoto wako aoe au kuolewa na mtu mweye tabia kama zako?

    To be honest my daughter atakua amejichanganya sana
Back
Top Bottom