Jamani..nilikua sijaona bango lenyewe mm nilijua ni yale ya umeme..kumbe hilo la kuandika tena muandiko umepinda..I support this lakini hilo bango nope halivutii kusoma
Hayo ndo malipo ya Ridhiwani kusamehewa kunyongwa baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya..lijinga limoja linaponza taifa nzima..I wish nyerere angekuwepo
Habari wana jf...kuna tetesi nimezisikia kuwa kuna serial killer ambaye ni light skinned hapa dar anatembea na pikipiki...huwa hataki mabishano na dereva yeyote na ikitokea mmebishana yeye hukufyatulia bastora..kuna ujumbe una sambaa kuwa keshaua madereva wawili mmoja magomeni karibu na...
Hawa polisi na inteligensia yao wooote ni mambulula...wakisikia issue za chadema kiherehere kufatilia...mbona hatujasikia mkimkamata shehe ilunga..au kwa kuwa baba yenu kikwete alimtuma.?..kwa ulimboka nani alihojiwa au kwa kuwa kikwete aliwatuma...acheni u......nge
I thought I losted him forever..thts why I decided to move on with my life..but unfortunately he came back begging me to forgive him..anahisi tungekua mbali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.