Naomba kujua maana halisi ya huo mstari wa sitakufa bali nitaishi ikiwa kuanzai adam kiumbe wa kwanza kuumbwa hatunaye na kila Leo watu wanakufa na hakuna kiumbe kitachobakia
Huko mnakowapigia ni namba zipi, manake jana nimetuma pesa kwa mtu mpaka sasa nmnikipiga 100 sipati namna ya kuongea na mtoa huduma , namba yao ya whatapp nayo kizunguzungu in kuchat na robot tu, kila wakisema eleza tatizo ukiwaeleza wanajibu wako busy kushughulikia wengine watakurejea...
Yalikuepo huenda hayakukuta staff mwenzangu mtoto aliugua tens akapewa referral toka mwananyamala to muhimbili wiki tu akafariki deni likawa 1.9 M wakagoma kutoa maiti ya mtoto tena asiekua hats na mwaka
Ni mtihani sana, jiran hapa mume wake amelazwa hapo wiki tu mpka milion na zaidi vipimo tu Jana wamelazimisha waruhusiwe na mgonjwa warudi nyumban kwani hawawezi Ku afford hiz gharama, hapa mgonjwa kapewa referal ya mloganzila kwan ndio kuna kitengo kinachodili na mishipa ya fahamu, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.