Recent content by baby zu

  1. baby zu

    Napendekeza tuanzishe JF Jogging Club ya mtandaoni

    I Ilboru mpka mianzini tu kwa sasa boda lazima ihusike
  2. baby zu

    Ni nani mwenye haki ya mirathi katika familia?

    Kwetu sisi waislam mume nae ana haki ktk mali ya mke , ila hao watoto mtihan pia vipi waseme baba hana chake
  3. baby zu

    Je, Makonda suala la umeme, sukari na nauli yamemshinda?

    Umeme au njia / nyaya za umeme?
  4. baby zu

    Kijana mwenzangu una akiba kiasi gani benki?

    Last four digits 9215
  5. baby zu

    Sitakufa, bali nitaishi

    Naomba kujua maana halisi ya huo mstari wa sitakufa bali nitaishi ikiwa kuanzai adam kiumbe wa kwanza kuumbwa hatunaye na kila Leo watu wanakufa na hakuna kiumbe kitachobakia
  6. baby zu

    Mke wangu ananiletea Usuperstar

    Pole, sisi wanawake sijui mini hutupata tukishika pesa
  7. baby zu

    Vodacom acheni wizi aisee mtatuua kwa presha

    Huko mnakowapigia ni namba zipi, manake jana nimetuma pesa kwa mtu mpaka sasa nmnikipiga 100 sipati namna ya kuongea na mtoa huduma , namba yao ya whatapp nayo kizunguzungu in kuchat na robot tu, kila wakisema eleza tatizo ukiwaeleza wanajibu wako busy kushughulikia wengine watakurejea...
  8. baby zu

    Niliyoyagundua baada ya kuwatembelea wagonjwa Muhimbili

    Yalikuepo huenda hayakukuta staff mwenzangu mtoto aliugua tens akapewa referral toka mwananyamala to muhimbili wiki tu akafariki deni likawa 1.9 M wakagoma kutoa maiti ya mtoto tena asiekua hats na mwaka
  9. baby zu

    Niliyoyagundua baada ya kuwatembelea wagonjwa Muhimbili

    ni sehemu mbili tofauti ila vitengo baadhi vimeamishiwa mloganzila
  10. baby zu

    Niliyoyagundua baada ya kuwatembelea wagonjwa Muhimbili

    Ni mtihani sana, jiran hapa mume wake amelazwa hapo wiki tu mpka milion na zaidi vipimo tu Jana wamelazimisha waruhusiwe na mgonjwa warudi nyumban kwani hawawezi Ku afford hiz gharama, hapa mgonjwa kapewa referal ya mloganzila kwan ndio kuna kitengo kinachodili na mishipa ya fahamu, lakini...
Back
Top Bottom