Recent content by baby zu

  1. baby zu

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Ameen. Ambarika sana lau watu wote wangeshikaman ana Qur’an na sunna hata siku ya malipo ingekuwa nyepesi sana. Allah atuongoze
  2. baby zu

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Sijui alipotelea wapi na story zake
  3. baby zu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Nitazijaribu, hii hali inatesa, kuna muda unataka upumzike lakini usingizi unagoma kabisa, unalazimisha kufanya ibada za usiku unamaliza lakini bado vile vile
  4. baby zu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Sikuwa na hii shida awali ila niliumwa mgongo sasa zile dawa za pingili za mgongo sijui ndio zimeniachia hii shida, kwani dawa Zake nyingi nilikuwa nikinywa nakuwa kama teja, nalala muda wote, nahisi baada ya kuzizoea kwenye mwili hii hali ndio imenikuta, tena nikishtuka hvyo nakuwa full of...
  5. baby zu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Yani hata kwa dawa za usingizi bado napata tabu kulala, sijaelewa bado natatua vipi hii hali
  6. baby zu

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Bora kukosa usingizi mchana ila sio usiku, mimi nasumbuliwa na kukosa usingizi usiku nikillala saa tano nikkishtuka saa sita ni mpaka kesho saa tano tena ndio nitalala, hii hali inanitesa sana, nikilala kosa ni kushtuka
  7. baby zu

    JamiiForums Tanzania 2. Mchangiaji bora JF 2025

    Kwangu ni kaka adriz
  8. baby zu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hebu soma hiki kisa kidogo ujifunze jambo. Mnadhani huyu dada yuko sahihi?

    Ila ni sababu mentality ya watu wengi wameelekeza pesa inapatikana kwa njia hiyo, tupo ambao tumepitia magumu lakini njia hiyo haikuwahi kuwa option zetu ila tulipambana ktk njia ngumu zile zile sahihi na Mwenyezi Mungu akaleta wepesi, Ni better apite nyumba hadi nyumb akutafuta msaada...
  9. baby zu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hebu soma hiki kisa kidogo ujifunze jambo. Mnadhani huyu dada yuko sahihi?

    Mtihani sana, tunaomba nusra ya mwenyezi Mungu
  10. baby zu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Krismasi uliotumwa na Imam Mohammad Tawhidi

    برك ما شاء الله
  11. baby zu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni roho ngumu tu, ila Rais Samia angekuwa na UTU, angeondoka Ikulu kwa haya mauaji na ubakaji uliotokea akiwa Kiongozi Mkuu wa nchi

    Daa yani kwa video Ile ya jana ni vema kujiweka kando kaepusha machafuko, jaribu kufikiri mtu alikua anatafuta ndugu yake Jana anamwona alivyowekwa kama takataka
  12. baby zu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nilijiona mbabe wa kuangalia Horror movies, ila haya yamenishinda

    Mimi mpaka moyo unaenda mbio,
Back
Top Bottom