Recent content by baby zu

  1. baby zu

    Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Nitazijaribu, hii hali inatesa, kuna muda unataka upumzike lakini usingizi unagoma kabisa, unalazimisha kufanya ibada za usiku unamaliza lakini bado vile vile
  2. baby zu

    Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Sikuwa na hii shida awali ila niliumwa mgongo sasa zile dawa za pingili za mgongo sijui ndio zimeniachia hii shida, kwani dawa Zake nyingi nilikuwa nikinywa nakuwa kama teja, nalala muda wote, nahisi baada ya kuzizoea kwenye mwili hii hali ndio imenikuta, tena nikishtuka hvyo nakuwa full of...
  3. baby zu

    Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Yani hata kwa dawa za usingizi bado napata tabu kulala, sijaelewa bado natatua vipi hii hali
  4. baby zu

    Ushauri wa kupata usingizi mchana

    Bora kukosa usingizi mchana ila sio usiku, mimi nasumbuliwa na kukosa usingizi usiku nikillala saa tano nikkishtuka saa sita ni mpaka kesho saa tano tena ndio nitalala, hii hali inanitesa sana, nikilala kosa ni kushtuka
  5. baby zu

    2. Mchangiaji bora JF 2025

    Kwangu ni kaka adriz
  6. baby zu

    Hebu soma hiki kisa kidogo ujifunze jambo. Mnadhani huyu dada yuko sahihi?

    Ila ni sababu mentality ya watu wengi wameelekeza pesa inapatikana kwa njia hiyo, tupo ambao tumepitia magumu lakini njia hiyo haikuwahi kuwa option zetu ila tulipambana ktk njia ngumu zile zile sahihi na Mwenyezi Mungu akaleta wepesi, Ni better apite nyumba hadi nyumb akutafuta msaada...
  7. baby zu

    Hebu soma hiki kisa kidogo ujifunze jambo. Mnadhani huyu dada yuko sahihi?

    Mtihani sana, tunaomba nusra ya mwenyezi Mungu
  8. baby zu

    Ujumbe wa Krismasi uliotumwa na Imam Mohammad Tawhidi

    برك ما شاء الله
  9. baby zu

    PostGE2025 Ni roho ngumu tu, ila Rais Samia angekuwa na UTU, angeondoka Ikulu kwa haya mauaji na ubakaji uliotokea akiwa Kiongozi Mkuu wa nchi

    Daa yani kwa video Ile ya jana ni vema kujiweka kando kaepusha machafuko, jaribu kufikiri mtu alikua anatafuta ndugu yake Jana anamwona alivyowekwa kama takataka
Back
Top Bottom