Nitazijaribu, hii hali inatesa, kuna muda unataka upumzike lakini usingizi unagoma kabisa, unalazimisha kufanya ibada za usiku unamaliza lakini bado vile vile
Sikuwa na hii shida awali ila niliumwa mgongo sasa zile dawa za pingili za mgongo sijui ndio zimeniachia hii shida, kwani dawa Zake nyingi nilikuwa nikinywa nakuwa kama teja, nalala muda wote, nahisi baada ya kuzizoea kwenye mwili hii hali ndio imenikuta, tena nikishtuka hvyo nakuwa full of...
Bora kukosa usingizi mchana ila sio usiku, mimi nasumbuliwa na kukosa usingizi usiku nikillala saa tano nikkishtuka saa sita ni mpaka kesho saa tano tena ndio nitalala, hii hali inanitesa sana, nikilala kosa ni kushtuka
Ila ni sababu mentality ya watu wengi wameelekeza pesa inapatikana kwa njia hiyo, tupo ambao tumepitia magumu lakini njia hiyo haikuwahi kuwa option zetu ila tulipambana ktk njia ngumu zile zile sahihi na Mwenyezi Mungu akaleta wepesi,
Ni better apite nyumba hadi nyumb akutafuta msaada...
Daa yani kwa video Ile ya jana ni vema kujiweka kando kaepusha machafuko, jaribu kufikiri mtu alikua anatafuta ndugu yake Jana anamwona alivyowekwa kama takataka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.