Kuna movie Moja Moja unaitwa desire ilikuwa ikirushwa na EATV saa tatu usiku. Niliizimia sanaWewe wasema.
Na kuna moja flani hivi ilikuwa na mademu mapacha ni ya bongo sema jina limenitoka enzi hizoo kabisa. Hao mademu walikuwa wanatesa sana wanaumeWakenya, kulikuwa na mganga maarufu Kalumanzila ametajwa sana hapa Bongo, mzee Kasri, bila kumsahau binti Linda
Ilikuwa inarushwa ITV
Hakika mimi nilikuwa nachukua chakula nakula mpka napekela kijicho mashavuni kwa kukosa uhondo...Isidingo, the promise, the long wait, passion, mutant x daaa kweli tymekuwa wazee. Nakumbuka ikifika saa tatu kasoro tunamwambia bibi tusali mapema ili tuangalie passion saa tatu. Sasa kimbembe maombi yawe ya muda mrefu tunawasha TV huku unapunguza Sauti ukisikia baba yetu uliye mbinguni tunazima TV faster sasa kale kamlio ka Hitachi wakati wa kukazima akisema amen tu tunaulizwa nani aliwasha TV mda wa maombi ni mwendo wa kuchukua TV na kupeleka chumbani kwenye box
Shida ya maombi kuna siku akianza kumtaja mtu mmoja mmoja na matatizo yake maombi lazima yawe marefu na usisahau kipindi hicho taarifa ya habari lazima itizamwe mpka mwisho. Ila ile the promise ilikua tamu sana. Nakumbuka tukiimba pangako sayooooooHakika mimi nilikuwa nachukua chakula nakula mpka napekela kijicho mashavuni kwa kukosa uhondo...
Daah mlikuwa watundu sana nyie, ila na bibi yenu alikua kuwaudhi yaani saa3 mida yenyewe kabisa... Mm home walikuwa wanajua tuu hata kama kuna mpira mbona wataacha kucheki tuu.
Yaani sometime ukiwa mtoto unapewa privilege za kipuuzi sana. Ila ndo hivyo ilisha baki kuwa story tuu
HIvi kwani. Mlikuwa wa kristo? Maana hata mimi kwa Bibi Yangu walipenda sana kusaliShida ya maombi kuna siku akianza kumtaja mtu mmoja mmoja na matatizo yake maombi lazima yawe marefu na usisahau kipindi hicho taarifa ya habari lazima itizamwe mpka mwisho. Ila ile the promise ilikua tamu sana. Nakumbuka tukiimba pangako sayoooooo
Mamkwe we ni GenZ nakujua š¤£Mimi ni GEN Z.
Passions ilikuwa tamthilia ya Waingereza mwigizaji maarufu alikuwa bibi fulani mchawi aitwaye Tabitha na kamwanasesere TimmyHIvi THE PASSION ilikuwa ipi hiyo ni kama jina nalikumbuka sema na changanya characters
KabisaWa kishua wewe.
Yes, nalikumbuka vizuri sana hiyooMmi nakumbuka kulikuwa na tamthilia inaoneshwa star tv kama 2013-14 ambapo mmoja wa waigizaji alikuwa ni mdada anaitwa MAYA alikuwa anafanya kazi kwa bosi wake huyo.
Bosi wake alikuwa na mtoto bubu baada ya mamayake kufariki mtoto akawa BUBU.
Mpaka bosi na mfanyakazi walipoanza kudate ndo mtoto akaanza kuonge.
Nafikiri tamthi5ia yenyewe ikukuwa kama ni ya kichina au waphilipino.kwa anayejua anitajie jina de Gunner @seran,@lamony
The long wait,the promise hizo zilikuwa TVTNdio
Nasikia ilikuwa inarushwa Star TV
Mambo ya star TV hayoit might be you
Daah mwanangu Mara Clara wale mapachamimi naikumbuka tu ile MARA CLARA nadhani ndo series ya kifilipino niliyoipenda kuliko zote