Nani anaikumbuka THE PROMISE?

Nani anaikumbuka THE PROMISE?

Hilo dude +254 walilisuka mamaé ila ikawa ndefu mpaka ikapoteza mvuto

Wafilipino niliwapendea tamthilia zao kadiri inavyokaribia kuisha ndio inazidi kunoga kama Wamexico

THE PASSION nayo ilikuwa poa sana
The promise chini ya Angelo...ni dunia nyingine...ni kama vile unasoma vitabu vya Hussein Issa Tuwa....Mkimbizi,Mfadhili...n.k....Ukitaka kwenda kula...unahofia mtu ataficha kitabu ama kiaazimwa...
 
The promise chini ya Angelo...ni dunia nyingine...ni kama vile unasoma vitabu vya Hussein Issa Tuwa....Mkimbizi,Mfadhili...n.k....Ukitaka kwenda kula...unahofia mtu ataficha kitabu ama kiaazimwa...
The Promise ndio tamthilia ya kwanza ya Kifilipino kupata umaarufu mkubwa hapa Tanzania

Iliwapa jina sana Star TV, ikabidi na TBC nao waanze kuonyesha tamthilia za Kifilipino ili wapate audiance
 
Isidingo, the promise, the long wait, passion, mutant x daaa kweli tymekuwa wazee. Nakumbuka ikifika saa tatu kasoro tunamwambia bibi tusali mapema ili tuangalie passion saa tatu. Sasa kimbembe maombi yawe ya muda mrefu tunawasha TV huku unapunguza Sauti ukisikia baba yetu uliye mbinguni tunazima TV faster sasa kale kamlio ka Hitachi wakati wa kukazima akisema amen tu tunaulizwa nani aliwasha TV mda wa maombi ni mwendo wa kuchukua TV na kupeleka chumbani kwenye box
 
The promise chini ya Angelo...ni dunia nyingine...ni kama vile unasoma vitabu vya Hussein Issa Tuwa....Mkimbizi,Mfadhili...n.k....Ukitaka kwenda kula...unahofia mtu ataficha kitabu ama kiaazimwa...
Oyaa mkuu naipataje tena Daah huwa hao characters nawawaza sana ila ku re-watch kipengele
 
Hilo dude +254 walilisuka mamaé ila ikawa ndefu mpaka ikapoteza mvuto

Wafilipino niliwapendea tamthilia zao kadiri inavyokaribia kuisha ndio inazidi kunoga kama Wamexico

THE PASSION nayo ilikuwa poa sana
HIvi THE PASSION ilikuwa ipi hiyo ni kama jina nalikumbuka sema na changanya characters
 
Oyaa mkuu naipataje tena Daah huwa hao characters nawawaza sana ila ku re-watch kipengele

1000148728.jpg
 
Back
Top Bottom