Recent content by Baby msangi

  1. Baby msangi

    Je, niolewe naye? Baba yake alizaa na Mama yangu

    mmh hili suala linahitaji busara sana maana ukiangalia huyo ni kama kaka yako coz ni kaka wa dada yako.hata kama baba yake hakuoana na mama yako lakini mtoto waliezaa ndo alieleta undugu wenu.kwahiyo huyo ni kaka yako.ila jaribu kufuatilia kimila zaid na ww mwenyewe msimamo wako uko vp
  2. Baby msangi

    Sina raha

    pole sana dada kwa yaliyokukuta ila usinge kaa kimya ungeendelea kuongea na mumeo ili ajue kuwa ni ww na umeshagundua kuwa anakusaliti na pia rafiki yako ungemuuliza palepale coz ulikuwa na evidance.Kwa sasa kaa chini na mumeo umueleze kila kitu ili ajue kuwa unaelewa nn kinaendelea kat yake na...
  3. Baby msangi

    Nimependwa na jimama nifanyeje?na kuna tetesi kuwa mme wake alikufa kwa ugonjwa wa ukimwi

    achana na majimama endelea na mpenzi wako kwan hilo jimama litakuambukiza tu ukimwi na kukuacha.
  4. Baby msangi

    Meli ya MV Spice Islander, yazama ikelekea Pemba; wengi wahofiwa kupoteza maisha

    Mungu awatie moyo wafiwa wote na kuwaponya majeruh wa ajali hyo?cjui kama nch yetu inavifaa madhubut kwa ajil ya uopoaji?Hili ni janga la taifa zima so tuwaombee wenzetu
  5. Baby msangi

    Kitandani kwetu...

    pole sana kwa yaliyokukuta.jaribu kufanyia kazi ushauri ulioupata kutoka kwa wana jf.ila inahitaj utulie kwa muda ili uweze kupata uamuz mzuri.na vile vile uangalie mwanaume mwenyewe anaonyesha kujutia kosa lake au anaona ni sawa tu?kama anaonyesha kujal na kukuplease jarib kumfikiria kwanza.ili...
  6. Baby msangi

    Nafasi za Kazi-Sekretarieti ya ajira

    Thanx 2talifanyia kazi
  7. Baby msangi

    Ukikutana na mazingira haya unafanyaje

    ungemwambia atoke nje amalizane na simu zote then ndo muanze maongez.kama ataona maongezi yenu ni muhimu basi atazima simu then mtaendelea na maongez.
  8. Baby msangi

    Mabibi na Mabwana!!!!!

    Amen karibu sana
  9. Baby msangi

    Kumuelezea mpenzi wako historia yako ya kimapenzi kwa ulipotoka ni sawa?

    Mm naona haina haja ya kumweleza chochote.yaliyopita si ndwele 2gange yajayo
Back
Top Bottom