Recent content by Babumaua

  1. B

    Vifungashio vya unga wa mahindi, dona na muhogo

    Habarini wana Jamii, naomba kufahamishwa sehemu au kiwanda kinachotengeneza vifungashio kwa ajili ya unga wa mahindi, dona,sembe muhogo etc. pamoja na bei zake. asanteni.
  2. B

    Natafuta bata bukini na bata weupe (pekin) kwa ajuaye tafadhali

    Naomba kwa anayejua wanakopatikana hao bata bukini na bata weupe(pekini) anijulishe nahitaji kuwanunua kwa ajili ya kufuga kufuga. nipo dar. Asante
  3. B

    Dodoma kimenuka, Polisi watanda eneo la mkutano, baadhi ya wananchi wanaandamana

    kudadadeki, tunangoja wamalize tu tuanze kuipeperusha ukawa. mwaka huu lazima kieleweke tu
  4. B

    Wangoni na wamatengo waogopeni

    Huna jipya kajipange afu ulete tena hiyo maada yako.
  5. B

    Natafuta gari used ya 6 Millions, Toyota Ti, Spacio new model, yenye hali nzuri

    Mbona Waguna badala ya kutoa mchngo wako hapo ​Msindikizaji?
  6. B

    Natafuta gari used ya 6 Millions, Toyota Ti, Spacio new model, yenye hali nzuri

    Wana jamii ninatafuta gari isiyozidi Tsh. 6Million. AINA: Toyota Carina Ti VVTi, Spacio new model au nyingine ambayo ni user friendly yenye hali nzuri. Nitumie Picha kupitia WhatsApp 0764039624. Asanteni.
  7. B

    Msaada kuhusu utofauti kati ya paper-based and internet-based toefl test

    Habarini za asubuhi waungwana! Ninaomba ufafanuzi kuhusu utofauti kati ya PAPER-BASED AND INTERNET-BASED TOEFL TEST kwa yeyote anayejua. natakiwa nifanye test hiyo na nimeambiwa nichague kati ya hizo mbili ili nifanye tar 10. Tafadhalini anayejua pia vitu gani vya msingi mtu unapaswa kujiandaa...
  8. B

    Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi Kisutu

    Hawana jipya,waendezao huko. Sasa mahakama si dhani kama inavunja ndoa. Bali hutenganisha wanandoa pale panapojitokeza hali ya hatari kati yao. Ndoa ya kikristo haivunjwi isipokuwa kifo pekeee!!!!
  9. B

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Monduli; Kitongoji Kambi ya Mkaa CHADEMA 27 CCM 13 Mwanga Mtaa wa Lwami; CHADEMA 55 CCM 35 Arumeru Magh. Kitongoji Endulele CHADEMA 170 CCM 130 Ushirombo mjini; CHADEMA inaongoza vitongoji 10 CCM inaongoza vitongoji 4 Moshi Manispaa; Kitongoji...
  10. B

    Kwanini watu wa Pwani wengi ni masikini?

    Upo sawa kabisa kidume cha mbegu
  11. B

    Natafuta gear box ya gari aina ya mazda premacy waungwana

    Asante Mangimeza nitafuata ushauri wako.
  12. B

    Mchanganuo wa kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule

    Engineer nimeipenda kazi yako. bonge la benchmark kwangu thanks. kweli JF inakilakitu
  13. B

    Natafuta gear box ya gari aina ya mazda premacy waungwana

    Naomba kwa yeyote ajuaye sehemu zinakopatikana Gear box za Mazda Premacy(AUTOMATIC) yenye CC 1800 anijulishe ninahitaji nibadilishe kwenye gari yangu imeleta shida. 0764039624 please nimehangaika sana,
  14. B

    Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

    Ha ha ha ha ha ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Back
Top Bottom