Recent content by BABU WA SHY

  1. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

    Bila Shaka wewe ni Abel Makubi
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mysol ni kampuni ya kitapeli, imewatapeli Wazazi wangu. Wananchi chukueni tahadhari

    Na Mimi nimeshangaa ikungi to singida km 287?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

    Hata Mimi kifo cha Magufuli kiliniumiza sana lakini haisaidii kuendelea kumlilia mtu ambaye tunajua hatarudi tena.Toa ushauri tufanye nini?.kulalamika hakusaidii kitu.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kipi kiwanja safi na totoz za maana Mwanza?

    Ukumbuke Kinga.Ukimwi upo na unaua.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kufuta nafasi moja kati ya nilizoomba UTUMISHI?

    Huyu jamaa siyo mstaarabu.baada ya kupata solution angetuambia ametumia njia gani.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Nyumba iliyojengwa Lushoto (Tanga) kwa ajili ya DJ. Don Nalimison iuzwe au wapewe CHADEMA kuwa Ofisi yao

    Huyu mtu anahitaji msaada mkubwa sana wa kisaikolojia na kiakili. Anatia huruma. Mwenye uwezo wa kumsaidia amsaidie.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache kusoma hizi Course (Kozi) supply imekuwa kubwa Kuliko demand

    Kila mtu asome kitu anachokipenda na anachokiweza.Hatuwezi kulingana.wote tukiwa mainjinia nani atakuwa mwalimu,polisi,nesi nk.Kila mmoja wetu ana karama aliyopewa/jaaliwa.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

    Dah. Hii kweli ni vurugu na siyo ustaarabu.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara Maarufu Arusha, anyongwa hadi kufa nyumbani kwake

    Halafu anaishi na wajukuu lakini funguo anatunza kwa jirani.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Marekani, Uingereza waungana kuonyesha wasiwasi wao juu ya hali ya Utoaji Haki nchini

    Hata Tanzania wapo walioshughulikiwa kama Khashogi
  11. B

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Marekani na Uingereza mmetukosea sana Watanzania

    Inawezekana unayoongea yana ukweli ndani yake lakini umeongea kishabiki sana kiasi kwamba uliyoongea yamepoteza mantiki.Siku nyingine punguza mihemuko.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe hesabu hii ya Rais Magufuli siku ya uzinduzi wa Terminal 3

    Hizo propaganda za kisiasa tumeshazizoea.kimsingi tumejenga kwa pesa zetu kwa asilimia 15 na asilimia iliyobaki tumekopa.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliosomea accontancy naomb wanisaidie hili

    Google! Vitu vidogo kama hivi siyo mpaka uje jf kuuliza.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Namshauri Rais afute vitambulisho vya wamachinga

    Naomba kueleweshwa, kwani mfanyabiashara akiwa na kitambulisho hatakiwi kulipa ushuru wa aina yoyote mfano ushuru wa soko?kama ndivyo naunga mkono wazo la kuuza vitambulisho;kama sivyo basi huu ni wizi wa kiufundi. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. B

    JamiiForums Tanzania Wenye Nchi ya Tanzania ni wananchi Watanzania sio Maria Sarungi na Jenerali Ulimwengu

    Wewe mleta mada na hao kina sarungi na ulimwengu lenu moja tu;mnatetea matumbo yenu(njaa zinawasumbua).hamna uchungu na vijana wa nchi hii.Ni kweli nchi ipo kwenye matatizo makubwa sana ya kiuongozi,hali ikiendelea hivi tunakaribisha janga litakalo tugharimu;lakini hakuna wanaharakati wenye...
Back
Top Bottom