Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,564
- 9,041
Nchi imemshinda hana option nyingine ya kupata mapato ,huo ni ubunifu wa PhD holder , genius rais wa wanyonge .
Bure?rais anawapenda mno wamachinga na wafanyabiashara wadogo ndio maana amewaletea hivyo vitambulisho bure ili wasisumbuliwe na mgambo