Recent content by Babu Mkuu

  1. B

    Madiwani wa CCM na CHADEMA Nyamagana jijini Mwanza kupiga kura kutokuwa na Iman Meya Wao Mr.Mabula

    Mabula ni mstahiki meya wa halmashauri ya jiji la Mwanza sasa inakuwaje madiwani wa halmashauri ya manispaa ya ilemela wapige kura?:kev:
  2. B

    Sakata la Mitaala na Matokeo ya Kidato cha Nne: Mkurugenzi Mkuu Taasisi ya Elimu ajiuzulu

    Hongera sana Dr.Mushi,umeonyesho usomi wako badala ya kuburuzwa,siasa hizi sio,naamini wewe ni msomi utaendelea na kazi zingine muhimu katika jamii yetu ya kitanzania.
  3. B

    Salva Rweyemamu, itunzeni heshima ya Ikulu yetu!

    Du!hii kali kiongozi,kutudanganya maana yake nini?:nod:
  4. B

    Nini kinakufanya (Mwanamme) ukanunue wanawake wanaojiuza?

    1.uwezo wa kifedha. 2.kutotaka usumbufu 3.kula vitu utakavyo wewe,kwani sokoni kuna kila sampuli 4.kujikinga na maradhi kiurahisi na kuepukana na usumbufu,matumizi ya CO ni ya mwendelezo kwa kuwahofia wa sokoni. 5.Unafurahia utakavyo kwani biashara inakuwa ni makubaliano na pesa yako. 6.Hakuna...
  5. B

    Vitu 10 Ambavyo Wanawake Wamewazidi Wanaume...! Je kweli??????

    10.Wana uwezo wa kuliwa na zaidi ya mwanaume mmoja kwa kwa siku kwani halua haina makombo.:A S 101:
  6. B

    Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

    kiongozi ukahaba kwa kwenda mbele,tellers si mali ktu kama ulidhani hivyo kwa kuwa wametokea ifm,ogopa watoto wa chuo,eti honey,my carpet........utaumia
  7. B

    Ushauri mchumba wangu anatembea na lecturer wake

    Best ishu sio lecturer kuwa na mke ishu ni huyo mke wako to be kuwa na mahusiano na lecturer,u know what?akina dada vyuoni hupenda sana vya mteremko kama vile soe offers,kufaulu vizuri na kuonekana kuwa wanatoka maisha bora ili hali ni wanatoka katika familia au koo ambazo ni choka mbaya...
  8. B

    Hakimu wa kesi ya Lwakatare yupo likizo, dhamana imeshindikana kutolewa

    Lakini ishu ni hakimu au uwepo wa mahakama?
  9. B

    Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

    Wana jf mwene the straight story kuhusu hii issue ya mahakamani kuhusu jd na clouds fm mtujuze vizuri,siku moja wiki iliyopita nilisikia kwa mbali katika radio clouds miongoni mwa wahusika wakijaribu kuelezea the issue lakini sikuambulia kitu.
  10. B

    Chadema yailiza CCM bunda mjini

    Hakuna kulala hadi kieleweke,ni wakati sasa wa kuamka mwaka 2015 lazima kieleweke.
  11. B

    Swali la Kizushi: Kwanini Job Ndugai anamuogopa Tundu Antipasi Lissu?

    yawezekana namba 1 na 2 hapo juu ikawa sahihi sana
  12. B

    Politics

    Ndugu wana jf,naomba kujua cv ya kinana
  13. B

    Dr Slaa aizika CCM Tunduma

    Bila walakini ni 4
Back
Top Bottom