Hongera sana Dr.Mushi,umeonyesho usomi wako badala ya kuburuzwa,siasa hizi sio,naamini wewe ni msomi utaendelea na kazi zingine muhimu katika jamii yetu ya kitanzania.
1.uwezo wa kifedha.
2.kutotaka usumbufu
3.kula vitu utakavyo wewe,kwani sokoni kuna kila sampuli
4.kujikinga na maradhi kiurahisi na kuepukana na usumbufu,matumizi ya CO ni ya mwendelezo kwa kuwahofia wa sokoni.
5.Unafurahia utakavyo kwani biashara inakuwa ni makubaliano na pesa yako.
6.Hakuna...
kiongozi ukahaba kwa kwenda mbele,tellers si mali ktu kama ulidhani hivyo kwa kuwa wametokea ifm,ogopa watoto wa chuo,eti honey,my carpet........utaumia
Best ishu sio lecturer kuwa na mke ishu ni huyo mke wako to be kuwa na mahusiano na lecturer,u know what?akina dada vyuoni hupenda sana vya mteremko kama vile soe offers,kufaulu vizuri na kuonekana kuwa wanatoka maisha bora ili hali ni wanatoka katika familia au koo ambazo ni choka mbaya...
Wana jf mwene the straight story kuhusu hii issue ya mahakamani kuhusu jd na clouds fm mtujuze vizuri,siku moja wiki iliyopita nilisikia kwa mbali katika radio clouds miongoni mwa wahusika wakijaribu kuelezea the issue lakini sikuambulia kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.