mandingo6262
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 424
- 82
Kwanza nashangaa topic hii........eti wasichana wa ifm Dar wanajiuza laivu. Je na wale wanaojiuza Kona bar utasema ni wasichana wa Ustawi wanajiuza laivu? Ni vema kabla ya kujumuisha na kudhalilisha watu ukawa na ushahidi kama vile wanajiuza wapi na wanajiuza Sh ngapi? Machangudoa wamejaa kila mahali na sitaki kuamini kwamba wasichana wote wa IFM wanajiuza! Mzee kama ulikuwa na kadem kako huko kakakumwaga kisa huna mpunga basi usifanye hitimisho kwa kusema kuwa wote wanajiuza.