Recent content by Babu mchumi

  1. B

    Kutokwa na damu sehemu za siri

    Habari the great thinkers Nina mpenz wangu,hayupo period ila kila tukifanya mapenzi damu zinamtoka,je yaweza kua sababu ni nini??hii hali ina kama mwezi sasa hata yeye hajui chanzo chake ni nini.msaada tafadhali
  2. B

    Mpenzi wangu hasikii harufu ya kitu chochote,msaada tafadhali.

    Habarini The Great Thinkers! Jaman nina mpenz wangu hasikii harufu ya kitu chochote,anadai hawajawai sikia harufu,tiba yake ni nini hii kitu,,msaada tafadhali maana anadai hiyo hali hapendezwi nayo!!
  3. B

    kuhusu kujisajili na NMB bank tellers

    Habarini the great thinkers! Kwenye tangazo la kazi la NMB Bank tellers ni lazima ujisajili kwenye website ya NMB,swali langu kwa wale waliojisajili,wamefanyaje mpaka wamefanikiwa?maana kila nikiupload CV inagoma,inaniambia Cv upload failed,,,msaada tafadhali
  4. B

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    KKuna kitu nataman kueleweshwa,,tamaa yangu ni kwenda JW japo najua unatakiwa upitie JKT,,swali langu ni kwamba,,baada ya kumaliza miezi sita ya JKT ukienda JW kuna mafunzobya miezi sita kama ya JKT au inakuaje mpaka uwe mwanajeshi kamili inakuchukua mda gani??? Kwa wenye uelewa tafadhali msaada
  5. B

    Kuhusu kuumwa na tumbo la bleed kupita kiasi

    Habari zenu the great thinkers, Tafadhali naomba kujulishwa kama kuna dawa inayoweza kupunguza au kuondoa maumivu makali ya tumbo kipindi cha hedhi,maana nashindwa kulala na mke wangu akiwa period,hua anatumia buskopan na panadol lakin wapi. Tafadhali nahitaji msaada wenu ndugu zangu!
  6. B

    Msaada kwa aneyeyajua ya jeshini!

    Pamoja sana mkuu!
  7. B

    Msaada kwa aneyeyajua ya jeshini!

    Thanks much brother!
  8. B

    Msaada kwa aneyeyajua ya jeshini!

    Habari zenu the great thinkers! Mimi nina degree ya uchumi ya pale mlimani,nina shauku kubwa ya kutaka kujiunga na jeshi JWTZ japo nasikia nafasi ni adimu sana kupata,,lengo ni kutaka kuuliza hivi kima cha chini cha mshahara kikoje,, yaan kwa profesnl na form six!? Na je kuna challenge gani huko?
  9. B

    Nikikushika tu nakukukula kiboga

    chezea kutatuliwa linda ww!
  10. B

    jeshi baada ya shule ushauri tafadhari!!

    habari zenu the great thinkers!! tafadhali naomba kufahamishwa faida na hasara za kujiunga na jeshi baada ya kuhitimu chuo!!
  11. B

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Habari zenu the great thinkers! Ninaomba kujua kama kuna dawa ya uvimbe sehemu ya tundu la haja kubwa ambao wakati mwingine husababisha mpaka damu kutoka wakati wa kujisaidia, chanzo chake ni nini na mwisho wa siku kuna madhara gani makubwa??msaada!
  12. B

    kwa continuous waliokosa mkopo

    kwa wale continuous waliokosa mkopo ambao waliomba upya kwa mara nyingine tunatakiwa tuwe na subira majibu yetu yatakuja,hata mimi ni muathirika wa hilo ishu iko hivi,mimi nasoma mlimani ila nahisi itakua inafanana kwa vyuo vyote,kuanzia jana continuous wote walioomba mkopo tulikua tunaandika...
  13. B

    SECOND BATCH YA HESLB YANUKIA,MUDA WOWOTE KUANZIA SASA ITAKUWA HEWANI

    ni kweli majina ya mkopo yanaweza yakatoka muda wowote ila sio kwa vigezo ulivyovisema,majina ya mkpo hayajafichwa,yapo hewani ila wameboresha tu mfumo wa kuangalia,unatakiwa uandike jina la unayetaka kumuangalia na code waliokupa ili wasikusumbue kutafuta kwenye majina mengi!!
Back
Top Bottom