Habari zenu the great thinkers!
Mimi nina degree ya uchumi ya pale mlimani,nina shauku kubwa ya kutaka kujiunga na jeshi JWTZ japo nasikia nafasi ni adimu sana kupata,,lengo ni kutaka kuuliza hivi kima cha chini cha mshahara kikoje,, yaan kwa profesnl na form six!?
Na je kuna challenge gani huko?