Recent content by babu maziwa

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hili la treni ya Arusha, Tanga, Moshi mbona hamuandiki au ya Chato tu ndio huwa mnayaona?

    Si ni kwa kina meku hapo! Wizi ni chachandu yao.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Leo nimegoma kumpisha kwenye siti binti mjamzito

    Hivi mpaka mtoe matusi kwenye discussions? Hivi Serikali ikifungia hizi Forum sababu ya matusi au lugha chafu mtasema mnaonewa? Jadilini hoja kama huna huja usichangie kuliko kutoa matusi. Pia jamii Forum kwa nini mnachapa topic za matusi hamjui kwamba mna jitia kitanzini wenyewe? Sent using...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Justin Kasusura ashinda rufaa na kuachiwa huru, alishutumiwa wizi wa Dola mil 2

    Ya Kasusura yalipita, angalia ya kwako! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    JamiiForums Tanzania E-FM hivi pana umuhimu gani Kitenge asome magazeti akiwa nje ya nchi?

    Ulitakaje? Au athari ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuwa na nyumba sio mafanikio ya maisha...

    Hizo nyumbaza NHC wanazo kaa wahindi previously zilijengwa na wahindi, muda mrefu hata kabla ya Uhuru wetu. Baada ya uhuruwetu zilitaifishwa na kupewa NHC. Hii inamaana Kwamba kipaumbele chao kilikuwa kujenga.hoja yako haina msingi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    JamiiForums Tanzania Tumeanza kula matunda ya mikutano ya Tundu Lissu Ulaya na Marekani

    Hivi Yuko kwenye matibabu Ulaya au kwenye ziara za kuisagia nchi yake? Si arudi aje kuisaidia Chadema inazidi kumong'onyoka.? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa mkoa Iringa mh Salum Hapi kufanya mikutano ya nyumba kwa nyumba ili kusikiliza kero za wananchi

    Sio nyumba kwa nyumba, ni wilaya kwa Wilaya Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    JamiiForums Tanzania Unywaji wa bia ya kwanza mpaka ya sita, mambo huwa hivi...

    "A woman who looked ugly before drinking will continue to look more and more beautiful as you go on drinking" Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    JamiiForums Tanzania Ni wakati wa SHIA kukabidhiwa BAKWATA.

    Lini ulifanya sensa ya madhebu yawaislam Tanzania? Tupe ushahidi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu App

    Huyu mtu anatibiwa au ameamua kuzurura kujitafutia kiki ya dunia?busara ingekuwa amalize tiba yake, arudi nyumbani watu wampe pole zake, asaidie pia polisi kutoa ushahidi wake, halafu ajipange sasa rasmi na Chama chake na wampe agenda ya kuzungumza akiwa huko. Huo ungekuwa in utratibu mzuri...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Chuki binafsi ya Haji Manara kwa Shaffi Dauda inatokana na nini?

    Haji Manara anakosa diplomasia/busara katika kuitumikia nafasi yake. Ana maneno ya chuki na majigambo. Hizo si sifa za msemaji mkuu wa Taasisi. Hatakiwi kuanzisha "attack"/confrontations" kwenye vyombo vingine, anadhalilisha cheo chake. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    JamiiForums Tanzania If your life was a book, What would the title be?

    'Challenges of life'
  13. B

    JamiiForums Tanzania If your life was a book, What would the title be?

    "Challenges of life"
  14. B

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa 37 wa SADC: Kwaniini Rais Magufuli Amekwepa Kuhudhuria?

    Kama mabilion yanamfuata hapa nyumbani kutoka kwa mamilionea na nchi kuu mbalimbali kumsifu kwa kuendesha nchi vizuri kuliko hata hizo nchi zenye exposure nyingi , what else do you need,aende for Tourism? Tayari anawakilishwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. B

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtumishi wa umma anawaza kuipigia kura CCM!?

    Bado una hoja tu? CCM kwanza mengine baadae Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom