E-FM hivi pana umuhimu gani Kitenge asome magazeti akiwa nje ya nchi?

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,674
1,685
Wakuu, hivi karibuni nimekuwa najikuta nasikiliza radio ya E - FM hasa kwa kuwasikiliza wachekeshaji Mkude, Bwakila na mjomba wake.
Nimejikuta nasikiliza hata kipindi chao cha magazeti asubuhi.
Kinachonishangaza ni huyu mtangazaji Maulidi Kitenge eti akiwa nje ya nchi anatujuza kilichomo kwenye magazeti na kwa mbwembwe nchi alipo kisha watangazaji waliopo Dar huendelea na kutujuza kilichomo kwenye magazeti hayo hayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ile ni segment yake mkuu.kwani hayo magazeti ni ya ndani au nje?
mm sipend efm kwa mchiriku tu.napenda kipind chao cha michezo ila matangazo mingiiiii
Anadukua dukua tu magazeti ya hapa nchini kana kwamba anafanya 'promo' ili tujue yuko nchi gani.
Pana 'media' hapa kubwa kubwa tu kama TBC, Radio one, RFA lakini sijasikia eti mtangazaji kaenda nje ya nchi na kudukua magazeti yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, hivi karibuni nimekuwa najikuta nasikiliza radio ya E - FM hasa kwa kuwasikiliza wachekeshaji Mkude, Bwakila na mjomba wake.
Nimejikuta nasikiliza hata kipindi chao cha magazeti asubuhi.
Kinachonishangaza ni huyu mtangazaji Maulidi Kitenge eti akiwa nje ya nchi anatujuza kilichomo kwenye magazeti na kwa mbwembwe nchi alipo kisha watangazaji waliopo Dar huendelea na kutujuza kilichomo kwenye magazeti hayo hayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mtajua aje yuko nje ya nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, hivi karibuni nimekuwa najikuta nasikiliza radio ya E - FM hasa kwa kuwasikiliza wachekeshaji Mkude, Bwakila na mjomba wake.
Nimejikuta nasikiliza hata kipindi chao cha magazeti asubuhi.
Kinachonishangaza ni huyu mtangazaji Maulidi Kitenge eti akiwa nje ya nchi anatujuza kilichomo kwenye magazeti na kwa mbwembwe nchi alipo kisha watangazaji waliopo Dar huendelea na kutujuza kilichomo kwenye magazeti hayo hayo.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa tatizo liko wapi? Hii ni dunia ya teknolojia kama ratiba inasema ni zamu yake kusoma magazeti basi hata akiwa nyumbani kwake atasoma tu
Au una ule wivu wa Kiafrika?
 
Sasa tatizo liko wapi? Hii ni dunia ya teknolojia kama ratiba inasema ni zamu yake kusoma magazeti basi hata akiwa nyumbani kwake atasoma tu
Au una ule wivu wa Kiafrika?
Mkuu, sio wivu. Nshasema studioni pana watangazaji tayari tena wanarejea kusoma habari zilezile tena na kurasa za ndani. Yeye hupitia juujuu zile kurasa za mbele kwani anazisoma kwenye mtandao. Leo katujuza yuko Sauzi!!!!!!!!!
 
Mkuu, sio wivu. Nshasema studioni pana watangazaji tayari tena wanarejea kusoma habari zilezile tena na kurasa za ndani. Yeye hupitia juujuu zile kurasa za mbele kwani anazisoma kwenye mtandao. Leo katujuza yuko Sauzi!!!!!!!!!

Ni shida kwako yy akiwa anataja location?
 
ile ni segment yake mkuu.kwani hayo magazeti ni ya ndani au nje?
mm sipend efm kwa mchiriku tu.napenda kipind chao cha michezo ila matangazo mingiiiii
Dhuuu nao skuhz wamekua Na matangazo
Lukuki kama mawingu hapo zaman
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom