Nimefatilia comment za milad ayo juu ya mazishi ya hamza....nimegundua hamza kazikwa na watu wengi kuliko waliokuwa makaburini.yaan watu ndo wameonesha masikitiko makubwa na pole nyingi juu ya ugu wake...makuu hii imekaeje mana kila coment inamtakia jannat ferdaus..
mkuu...fact point umeongea...but lait kungekuwa na mhusika wa aina yoyote kutoka ikulu akausoma uzi wako na kwa iamani pengine kwa uchache wa % ungechangia badiliko katika leadership nchini..........kuna jambo ambalo lipo maana sionkawaida kabisa watanzania kufurahia mauaji ya polis..kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.