kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,869
Niipongeze serikali ya kwa hili la kufungia tovuti za ngono
Ningeomba Tcra waendelee kuchanja mbuga bado kuna vitovuti vingi mmeviacha natamani na nipo tayari kutoa ushirikiano wa kuzianisha zifungiwe
Zinatakiwa zifungiwe zote na baada ya hapo ianze kampeni ya safisha safisha ya video za ngono iwe ni kosa la jinai na adhabu kali
Tusipoangamiza hili tatizo vizazi vyetu vitakuja kuumia zaidi
Hatuwezi kuwa na taifa la mapornstar au waangalia ngono kwanza mabando yanaishia huko
Madhara ya hizo porn ni
1.Zinahamasisha ushoga na usagaji
2.Zinahamasisha ulawiti
3.Zinahamasisha ubakaji
4.Zinahamasisha ngono na watoto wadogo under 18
5.Zinahamasisha na kusababisha tatizo la nguvu za kiume kupitia punyeto
6.Zinaharibu watu saikolojia
7.Zinashusha utu wa mtu
8.Zinashusha thamani ya mwanamke
9.Zinapoteza mida wa watu kuwa busy badala ya kufanya kazi
10.Zinaleta hasara za kiuchumi mfano kumaliza mabando
11.Zinaleta uraibu wa kudumu yaani permanent addiction.
12.Zinaharibu maadili ya watu na kuleta maadili mabovu kupromote tabia za kishenzi
13.Zinaongeza uasi wa kiroho na kuharibu tamaduni na mila
Zipigwe marufuku na vita kwa nguvu zote.......
Ningeomba Tcra waendelee kuchanja mbuga bado kuna vitovuti vingi mmeviacha natamani na nipo tayari kutoa ushirikiano wa kuzianisha zifungiwe
Zinatakiwa zifungiwe zote na baada ya hapo ianze kampeni ya safisha safisha ya video za ngono iwe ni kosa la jinai na adhabu kali
Tusipoangamiza hili tatizo vizazi vyetu vitakuja kuumia zaidi
Hatuwezi kuwa na taifa la mapornstar au waangalia ngono kwanza mabando yanaishia huko
Madhara ya hizo porn ni
1.Zinahamasisha ushoga na usagaji
2.Zinahamasisha ulawiti
3.Zinahamasisha ubakaji
4.Zinahamasisha ngono na watoto wadogo under 18
5.Zinahamasisha na kusababisha tatizo la nguvu za kiume kupitia punyeto
6.Zinaharibu watu saikolojia
7.Zinashusha utu wa mtu
8.Zinashusha thamani ya mwanamke
9.Zinapoteza mida wa watu kuwa busy badala ya kufanya kazi
10.Zinaleta hasara za kiuchumi mfano kumaliza mabando
11.Zinaleta uraibu wa kudumu yaani permanent addiction.
12.Zinaharibu maadili ya watu na kuleta maadili mabovu kupromote tabia za kishenzi
13.Zinaongeza uasi wa kiroho na kuharibu tamaduni na mila
Zipigwe marufuku na vita kwa nguvu zote.......