Wanaotaka kutuletea matata tutengwe kimataifa Ni polisi wetu tuwe makini na kauli zao

onjwayo

JF-Expert Member
Apr 8, 2020
1,342
1,300
Hivi majuzi Kuna tamko limetolewa kufungwa kwa ubalozi wa Denmark.

Sisi kwa macho ya haraka tunaona Kama Ni tishia mtoto Tena 2024 halafu tunajisemea kuwa acha waende kainchi kamoja hako.

Tunajipa matumaini kwa sababu tuna kiburi Cha kuweza kuwatoza wananchi wetu tozo lukuki tutakavyo tukajenga shule bila ya misaada ya mabeberu.

Tunaweza kuongeza chochote kwa sababu wabunge wote tumewaweka bungeni kuruhusu na kupitisha chochote kilicholetwa na serikali bila ugumu sababu wote Ni CCM. Kama nchi hatujapata dira Kama taifa. Mipango yetu Ni ya zimamoto. Leo tutakuwa na hili kesho like ilimradi tunajisogeza Kama kibarua aishivyo.

Kauli ya kufunga ubalozi wa Denmark unakuja baada ya nchi hiyo kupitia diplomasia wao kutoridhishwa na utawala wetu wa Sheria.

Ni kweli Kama nchi kuingiliwa kwenye Mambo yetu ya ndani Ni kosa. Lakini pia Kama nchi tumewaachia jeshi letu kufanya propaganda na maisha ya kisiasa nchini.

Jeshi linatumia nguvu kubwa mno kudhibiti upinzani. Jeshi linatekeleza kwa 100% katazo la serikali

Kauli ya mtu moja kuzuia na kudhibiti shughuli zote za kisiasa bila kuona katiba inasemaje.

Wanaojitokeza wanashughulikiwa kwa nguvu kubwa pamoja na kuwaweka mahabusu na kuwabambikiza vyesi vingi.

Mahakama imekuwa sehemu ya jeshi na serikali kuonyesha uonevu huu.

Juzi Kuna katazo ya wanadiplomasia kutoruhusiwa kuhudhuria vyesi vinavyowahusu wanasiasa wetu wa juu toka upinzani. Tafasiri ya hili Ni kuwa pengine wanahofu ya kujulikana hila zao na namna wanavyotumika polisi kuhujumu upinzani.

Mitaani akili zimeanza kubadilika kufuatia tukio la juzi. Hamza pamoja na tukio lake bovu lakini amepata watetezi . Iweje raia waanze kupishana na polisi , Kuna wanaoshangilia polisi kuuwawa, hii unaleta picha gani.

Polisi kwa upande wao wanajisikiaje? Huu mpishano ndio unaowapa mashaka balozi zetu kwa kutumia vyanzo vyao kuwa in the long run pengine hii nchi ikaingia katika sintofahamu.

Tukio la mtu anaelezwa na majirani na wengi wanaomfahamu, Hamza kuwa mpole na kugeuka kufanya yote in a no time s lisipuuzwe hata kidogo.

Juzi Rais aliongelea kuhusu polisi kuua na kutumia nguvu kubwa kabla ya kumfikisha mtu mahabusu. Sirro kwa upande mwingine alisikika kuubeza wito wa amiri jeshi mkuu wake.

Polisi wakiendeylea hivi tutatengwa. Polisi ndio kimbilio la mwisho. Kuna makaka Fulani YouTube inaweka wazi uonevu wa jeshi hili kwa raia wema .

Rais aisiishie kukemea tu Bali abadilishe uongozi wa jeshi hili na kulisuka upya kiweledi na kuipa karipio. Hii nguvu ya polisi kuingia kwenye siasa na kuisaidia CCM itatufikisha pabaya. Leo Ni Denmark, marafiki wa kipindi kirefu, je, kesho Nani?

FB_IMG_16302963344581133.jpg
 
Hivi majuzi Kuna tamko limetolewa kufungwa kwa ubalozi wa Denmark. Sisi kwa macho ya haraka tunaona Kama Ni tishia mtoto Tena 2024 halafu tunajisemea kuwa acha waende kainchi kamoja hako. Tunajipa matumaini kwa sababu tuna kiburi Cha kuweza kuwatoza wananchi wetu tozo lukuki tutakavyo tukajenga shule bila ya misaada ya mabeberu. Tunaweza kuongeza chochote kwa sababu wabunge wote tumewaweka bungeni kuruhusu na kupitisha chochote kilicholetwa na serikali bila ugumu sababu wote Ni CCM. Kama nchi hatujapata dira Kama taifa....mipango yetu Ni ya zimamoto. Leo tutakuwa na hili kesho like ilimradi tunajisogeza Kama kibarua aishivyo.
Kauli ya kufunga ubalozi wa Denmark unakuja baada ya nchi hiyo kupitia diplomasia wao kutoridhishwa na utawala wetu wa Sheria. Ni kweli Kama nchi kuingiliwa kwenye Mambo yetu ya ndani Ni kosa. Lakini pia Kama nchi tumewaachia jeshi letu kufanya propaganda na maisha ya kisiasa nchini. Jeshi linatumia nguvu kubwa mno kudhibiti upinzani. Jeshi linatekeleza kwa 100% katazo la serikali ...kauli ya mtu moja kuzuia na kudhibiti shughuli zote za kisiasa bila kuona katiba inasemaje. Wanaojitokeza wanashughulikiwa kwa nguvu kubwa pamoja na kuwaweka mahabusu na kuwabambikiza vyesi vingi. Mahakama imekuwa sehemu ya jeshi na serikali kuonyesha uonevu huu.
Juzi Kuna katazo ya wanadiplomasia kutoruhusiwa kuhudhuria vyesi vinavyowahusu wanasiasa wetu wa juu toka upinzani. Tafasiri ya hili Ni kuwa pengine wanahofu ya kujulikana hila zao na namna wanavyotumika polisi kuhujumu upinzani. Mitaani akili zimeanza kubadilika kufuatia tukio la juzi. Hamza pamoja na tukio lake bovu lakini amepata watetezi . Iweje raia waanze kupishana na polisi , Kuna wanaoshangilia polisi kuuwawa, hii unaleta picha gani. Polisi kwa upande wao wanajisikiaje? Huu mpishano ndio unaowapa mashaka balozi zetu kwa kutumia vyanzo vyao kuwa in the long run pengine hii nchi ikaingia katika sintofahamu. Tukio la mtu anaelezwa na majirani na wengi wanaomfahamu, Hamza kuwa mpole na kugeuka kufanya yote in a no time s lisipuuzwe hata kidogo.
Juzi rais aliongelea kuhusu polisi kuua na kutumia nguvu kubwa kabla ya kumfikisha mtu mahabusu. Sirro kwa upande mwingine alisikika kuubeza wito wa amiri jeshi mkuu wake. Polisi wakiendeylea hivi tutatengwa. Polisi ndio kimbilio la mwisho. Kuna makaka Fulani YouTube inaweka wazi uonevu wa jeshi hili kwa raia wema . Rais aisiishie kukemea tu Bali abadilishe uongozi wa jeshi hili na kulisuka upya kiweledi na kuipa karipio. Hii nguvu ya polisi kuingia kwenye siasa na kuisaidia CCM itatufikisha pabaya. Leo Ni Denmark, marafiki wa kipindi kirefu, je, kesho Nani?View attachment 1915882
mkuu...fact point umeongea...but lait kungekuwa na mhusika wa aina yoyote kutoka ikulu akausoma uzi wako na kwa iamani pengine kwa uchache wa % ungechangia badiliko katika leadership nchini..........kuna jambo ambalo lipo maana sionkawaida kabisa watanzania kufurahia mauaji ya polis..kwani yashatokea matukio mengi ila walisikitishwa na yale matukio......leo wana crap makofi..kumsifia hamza........
 
Serikali ya makaburu weusi , Wajifunze multiplier effect ya maamuzi.
1. Mbowe gaidi
2. Denimaki kufungasha
3. Tozo viwango kibabe
4. Mbinyo jumuia za kimataifa unakuja
5. Kutoheshimu Katiba , kuziba midomo madai Katiba na demokrasia.
6. RIP Hamza, tunasomo kubwa Toka kwako.
 
Hivi majuzi Kuna tamko limetolewa kufungwa kwa ubalozi wa Denmark.

Sisi kwa macho ya haraka tunaona Kama Ni tishia mtoto Tena 2024 halafu tunajisemea kuwa acha waende kainchi kamoja hako.

Tunajipa matumaini kwa sababu tuna kiburi Cha kuweza kuwatoza wananchi wetu tozo lukuki tutakavyo tukajenga shule bila ya misaada ya mabeberu.

Tunaweza kuongeza chochote kwa sababu wabunge wote tumewaweka bungeni kuruhusu na kupitisha chochote kilicholetwa na serikali bila ugumu sababu wote Ni CCM. Kama nchi hatujapata dira Kama taifa. Mipango yetu Ni ya zimamoto. Leo tutakuwa na hili kesho like ilimradi tunajisogeza Kama kibarua aishivyo.

Kauli ya kufunga ubalozi wa Denmark unakuja baada ya nchi hiyo kupitia diplomasia wao kutoridhishwa na utawala wetu wa Sheria.

Ni kweli Kama nchi kuingiliwa kwenye Mambo yetu ya ndani Ni kosa. Lakini pia Kama nchi tumewaachia jeshi letu kufanya propaganda na maisha ya kisiasa nchini.

Jeshi linatumia nguvu kubwa mno kudhibiti upinzani. Jeshi linatekeleza kwa 100% katazo la serikali

Kauli ya mtu moja kuzuia na kudhibiti shughuli zote za kisiasa bila kuona katiba inasemaje.

Wanaojitokeza wanashughulikiwa kwa nguvu kubwa pamoja na kuwaweka mahabusu na kuwabambikiza vyesi vingi.

Mahakama imekuwa sehemu ya jeshi na serikali kuonyesha uonevu huu.

Juzi Kuna katazo ya wanadiplomasia kutoruhusiwa kuhudhuria vyesi vinavyowahusu wanasiasa wetu wa juu toka upinzani. Tafasiri ya hili Ni kuwa pengine wanahofu ya kujulikana hila zao na namna wanavyotumika polisi kuhujumu upinzani.

Mitaani akili zimeanza kubadilika kufuatia tukio la juzi. Hamza pamoja na tukio lake bovu lakini amepata watetezi . Iweje raia waanze kupishana na polisi , Kuna wanaoshangilia polisi kuuwawa, hii unaleta picha gani.

Polisi kwa upande wao wanajisikiaje? Huu mpishano ndio unaowapa mashaka balozi zetu kwa kutumia vyanzo vyao kuwa in the long run pengine hii nchi ikaingia katika sintofahamu.

Tukio la mtu anaelezwa na majirani na wengi wanaomfahamu, Hamza kuwa mpole na kugeuka kufanya yote in a no time s lisipuuzwe hata kidogo.

Juzi Rais aliongelea kuhusu polisi kuua na kutumia nguvu kubwa kabla ya kumfikisha mtu mahabusu. Sirro kwa upande mwingine alisikika kuubeza wito wa amiri jeshi mkuu wake.

Polisi wakiendeylea hivi tutatengwa. Polisi ndio kimbilio la mwisho. Kuna makaka Fulani YouTube inaweka wazi uonevu wa jeshi hili kwa raia wema .

Rais aisiishie kukemea tu Bali abadilishe uongozi wa jeshi hili na kulisuka upya kiweledi na kuipa karipio. Hii nguvu ya polisi kuingia kwenye siasa na kuisaidia CCM itatufikisha pabaya. Leo Ni Denmark, marafiki wa kipindi kirefu, je, kesho Nani?

View attachment 1915882
Hao marafiki wanaofunga virago wanatupima kwa matendo ya viongozi wetu, sio kwa kauli zao.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Hivi majuzi Kuna tamko limetolewa kufungwa kwa ubalozi wa Denmark.

Sisi kwa macho ya haraka tunaona Kama Ni tishia mtoto Tena 2024 halafu tunajisemea kuwa acha waende kainchi kamoja hako.

Tunajipa matumaini kwa sababu tuna kiburi Cha kuweza kuwatoza wananchi wetu tozo lukuki tutakavyo tukajenga shule bila ya misaada ya mabeberu.

Tunaweza kuongeza chochote kwa sababu wabunge wote tumewaweka bungeni kuruhusu na kupitisha chochote kilicholetwa na serikali bila ugumu sababu wote Ni CCM. Kama nchi hatujapata dira Kama taifa. Mipango yetu Ni ya zimamoto. Leo tutakuwa na hili kesho like ilimradi tunajisogeza Kama kibarua aishivyo.

Kauli ya kufunga ubalozi wa Denmark unakuja baada ya nchi hiyo kupitia diplomasia wao kutoridhishwa na utawala wetu wa Sheria.

Ni kweli Kama nchi kuingiliwa kwenye Mambo yetu ya ndani Ni kosa. Lakini pia Kama nchi tumewaachia jeshi letu kufanya propaganda na maisha ya kisiasa nchini.

Jeshi linatumia nguvu kubwa mno kudhibiti upinzani. Jeshi linatekeleza kwa 100% katazo la serikali

Kauli ya mtu moja kuzuia na kudhibiti shughuli zote za kisiasa bila kuona katiba inasemaje.

Wanaojitokeza wanashughulikiwa kwa nguvu kubwa pamoja na kuwaweka mahabusu na kuwabambikiza vyesi vingi.

Mahakama imekuwa sehemu ya jeshi na serikali kuonyesha uonevu huu.

Juzi Kuna katazo ya wanadiplomasia kutoruhusiwa kuhudhuria vyesi vinavyowahusu wanasiasa wetu wa juu toka upinzani. Tafasiri ya hili Ni kuwa pengine wanahofu ya kujulikana hila zao na namna wanavyotumika polisi kuhujumu upinzani.

Mitaani akili zimeanza kubadilika kufuatia tukio la juzi. Hamza pamoja na tukio lake bovu lakini amepata watetezi . Iweje raia waanze kupishana na polisi , Kuna wanaoshangilia polisi kuuwawa, hii unaleta picha gani.

Polisi kwa upande wao wanajisikiaje? Huu mpishano ndio unaowapa mashaka balozi zetu kwa kutumia vyanzo vyao kuwa in the long run pengine hii nchi ikaingia katika sintofahamu.

Tukio la mtu anaelezwa na majirani na wengi wanaomfahamu, Hamza kuwa mpole na kugeuka kufanya yote in a no time s lisipuuzwe hata kidogo.

Juzi Rais aliongelea kuhusu polisi kuua na kutumia nguvu kubwa kabla ya kumfikisha mtu mahabusu. Sirro kwa upande mwingine alisikika kuubeza wito wa amiri jeshi mkuu wake.

Polisi wakiendeylea hivi tutatengwa. Polisi ndio kimbilio la mwisho. Kuna makaka Fulani YouTube inaweka wazi uonevu wa jeshi hili kwa raia wema .

Rais aisiishie kukemea tu Bali abadilishe uongozi wa jeshi hili na kulisuka upya kiweledi na kuipa karipio. Hii nguvu ya polisi kuingia kwenye siasa na kuisaidia CCM itatufikisha pabaya. Leo Ni Denmark, marafiki wa kipindi kirefu, je, kesho Nani?

View attachment 1915882
Kwa mnatanguliza hoja hii ili kumwandaa IGP kisaikolojia sio ili muweza kumweka mtu wa kaliba yenu sio?

Harakisheni haraka kumwondoa na mharibikiwe haraka maana ndicho mnachokitaka.

Aliyeshika silaha huwa hakemewi hadharani tena kwa kejeli na jeuri ya madaraka. Makosa ya mshika silaha huwa yanashughulikiwa kimya kwa ustadi maalum wa kijeshi kisha mabadilika hufanyika bila kuzusha hofu na tahamaki miongoni mwa watu wa chini.

Wapambe wa mh Rais mnampoteza sana

Nchi hii mtaendelea kushindwa katika mambo mengi sana huko muendako kwa kuwa haijawekeza ipasavyo katika nyanja zifuatazo

1. Medical Intelligence
2. Economic Intelligence
3. Diplomatic Intelligence
4. Security Intelligence
5. Cyber-Security Intelligence
6. Intellectual Property Intelligence
7. Artificial Intelligence

*Unajua ni kwanini balozi wa USA D.Wright ameondoka mapema kabla ya muda wake wa miaka minne kukamilika?

Rejea hapo juu utaelewa alikuwa hapo Tanzania kwa ajili ya nini na amekamilisha kwa kiwango gani
 
Kwa mnatanguliza hoja hii ili kumwandaa IGP kisaikolojia sio ili muweza kumweka mtu wa kaliba yenu sio?

Harakisheni haraka kumwondoa na mharibikiwe haraka maana ndicho mnachokitaka.

Aliyeshika silaha huwa hakemewi hadharani tena kwa kejeli na jeuri ya madaraka. Makosa ya mshika silaha huwa yanashughulikiwa kimya kwa ustadi maalum wa kijeshi kisha mabadilika hufanyika bila kuzusha hofu na tahamaki miongoni mwa watu wa chini.

Wapambe wa mh Rais mnampoteza sana

Nchi hii mtaendelea kushindwa katika mambo mengi sana huko muendako kwa kuwa haijawekeza ipasavyo katika nyanja zifuatazo

1. Medical Intelligence
2. Economic Intelligence
3. Diplomatic Intelligence
4. Security Intelligence
5. Cyber-Security Intelligence
6. Intellectual Property Intelligence
7. Artificial Intelligence

*Unajua ni kwanini balozi wa USA D.Wright ameondoka mapema kabla ya muda wake wa miaka minne kukamilika?

Rejea hapo juu utaelewa alikuwa hapo Tanzania kwa ajili ya nini na amekamilisha kwa kiwango gani
Mkuu huyu Balozi wa US kafanikiwa ktk intelligence ipi kati ya hizo huku akituacha sisi tunang'ang'aa macho bila kujielewa?
Nalog off
 
Number 1, 3 & 5 strategically he accomplished the mission before the stay tenue elapsed for security reasons. Think beyond the yardstick
Halafu hatujui tu kuwa hizi chokochoko wenye nguvu wanazipimia tu.....siku wakiona kuwa Kuna resistance ya kutosha kukabili serikali wanatufakaranisha na kutoa silaha kwa makundi yasiyofaa ili tupigane halafu wao wanakuja kuchota Mali zetu. Tuwe na akili kufanya Mambo yetu kwa wazi na weledi mkubwa
 
*Wakuu tuchukueni tahadhari,variants mpya ya CORONA from South Africa tofauti na delta imeshaanza kuchomoa watu.Precautions muhimu.
 
Hivi majuzi Kuna tamko limetolewa kufungwa kwa ubalozi wa Denmark.

Sisi kwa macho ya haraka tunaona Kama Ni tishia mtoto Tena 2024 halafu tunajisemea kuwa acha waende kainchi kamoja hako.

Tunajipa matumaini kwa sababu tuna kiburi Cha kuweza kuwatoza wananchi wetu tozo lukuki tutakavyo tukajenga shule bila ya misaada ya mabeberu.

Tunaweza kuongeza chochote kwa sababu wabunge wote tumewaweka bungeni kuruhusu na kupitisha chochote kilicholetwa na serikali bila ugumu sababu wote Ni CCM. Kama nchi hatujapata dira Kama taifa. Mipango yetu Ni ya zimamoto. Leo tutakuwa na hili kesho like ilimradi tunajisogeza Kama kibarua aishivyo.

Kauli ya kufunga ubalozi wa Denmark unakuja baada ya nchi hiyo kupitia diplomasia wao kutoridhishwa na utawala wetu wa Sheria.

Ni kweli Kama nchi kuingiliwa kwenye Mambo yetu ya ndani Ni kosa. Lakini pia Kama nchi tumewaachia jeshi letu kufanya propaganda na maisha ya kisiasa nchini.

Jeshi linatumia nguvu kubwa mno kudhibiti upinzani. Jeshi linatekeleza kwa 100% katazo la serikali

Kauli ya mtu moja kuzuia na kudhibiti shughuli zote za kisiasa bila kuona katiba inasemaje.

Wanaojitokeza wanashughulikiwa kwa nguvu kubwa pamoja na kuwaweka mahabusu na kuwabambikiza vyesi vingi.

Mahakama imekuwa sehemu ya jeshi na serikali kuonyesha uonevu huu.

Juzi Kuna katazo ya wanadiplomasia kutoruhusiwa kuhudhuria vyesi vinavyowahusu wanasiasa wetu wa juu toka upinzani. Tafasiri ya hili Ni kuwa pengine wanahofu ya kujulikana hila zao na namna wanavyotumika polisi kuhujumu upinzani.

Mitaani akili zimeanza kubadilika kufuatia tukio la juzi. Hamza pamoja na tukio lake bovu lakini amepata watetezi . Iweje raia waanze kupishana na polisi , Kuna wanaoshangilia polisi kuuwawa, hii unaleta picha gani.

Polisi kwa upande wao wanajisikiaje? Huu mpishano ndio unaowapa mashaka balozi zetu kwa kutumia vyanzo vyao kuwa in the long run pengine hii nchi ikaingia katika sintofahamu.

Tukio la mtu anaelezwa na majirani na wengi wanaomfahamu, Hamza kuwa mpole na kugeuka kufanya yote in a no time s lisipuuzwe hata kidogo.

Juzi Rais aliongelea kuhusu polisi kuua na kutumia nguvu kubwa kabla ya kumfikisha mtu mahabusu. Sirro kwa upande mwingine alisikika kuubeza wito wa amiri jeshi mkuu wake.

Polisi wakiendeylea hivi tutatengwa. Polisi ndio kimbilio la mwisho. Kuna makaka Fulani YouTube inaweka wazi uonevu wa jeshi hili kwa raia wema .

Rais aisiishie kukemea tu Bali abadilishe uongozi wa jeshi hili na kulisuka upya kiweledi na kuipa karipio. Hii nguvu ya polisi kuingia kwenye siasa na kuisaidia CCM itatufikisha pabaya. Leo Ni Denmark, marafiki wa kipindi kirefu, je, kesho Nani?

View attachment 1915882
wanaa nia ovu na taifa hili.
 
Kwa mnatanguliza hoja hii ili kumwandaa IGP kisaikolojia sio ili muweza kumweka mtu wa kaliba yenu sio?

Harakisheni haraka kumwondoa na mharibikiwe haraka maana ndicho mnachokitaka.

Aliyeshika silaha huwa hakemewi hadharani tena kwa kejeli na jeuri ya madaraka. Makosa ya mshika silaha huwa yanashughulikiwa kimya kwa ustadi maalum wa kijeshi kisha mabadilika hufanyika bila kuzusha hofu na tahamaki miongoni mwa watu wa chini.

Wapambe wa mh Rais mnampoteza sana

Nchi hii mtaendelea kushindwa katika mambo mengi sana huko muendako kwa kuwa haijawekeza ipasavyo katika nyanja zifuatazo

1. Medical Intelligence
2. Economic Intelligence
3. Diplomatic Intelligence
4. Security Intelligence
5. Cyber-Security Intelligence
6. Intellectual Property Intelligence
7. Artificial Intelligence

*Unajua ni kwanini balozi wa USA D.Wright ameondoka mapema kabla ya muda wake wa miaka minne kukamilika?

Rejea hapo juu utaelewa alikuwa hapo Tanzania kwa ajili ya nini na amekamilisha kwa kiwango gani
Mkuu umeongea mambo mazito. Dadavua vizuri
 
Serikali ya makaburu weusi , Wajifunze multiplier effect ya maamuzi.
1. Mbowe gaidi
2. Denimaki kufungasha
3. Tozo viwango kibabe
4. Mbinyo jumuia za kimataifa unakuja
5. Kutoheshimu Katiba , kuziba midomo madai Katiba na demokrasia.
6. RIP Hamza, tunasomo kubwa Toka kwako.
Hatari sn
 
Pia Serekali yetu inapowabambikizia kesi za ugaidi raia wake,wanazidi kuzipa hoja nchi za nje waione nchi ya Tanzania kuwa siyo mahali salama kwao,kwa hiyo hata wakifunga balozi zao watakuwa wako sahihi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom