Recent content by bablai2020

  1. B

    Wanawake Msitupe Jukumu ambalo hata ninyi hamfanyi. Kila mtu ajiridhishe mwenyewe

    Nichikuja kugundua..Goli la kwanza ndio goli..la pili ni vuherehere vyetu tuonekane wamba...wengi hatulifurahii hata kidogo .. Labda kama demu anajituma Ila naamini tulio kwenye ndoa wengi. Tunapitia hili
  2. B

    Ushauri wa bure kwa mchezaji Feisal Salum baada ya mchezo wa marudio kati ya Taifa Stars na Uganda The Cranes

    Amekaririwa akisema huko unguja..kwamba akirudi yanga na afe..yanga kuna kitu wamemkwaza huyu kijana
  3. B

    Ukiwa umebeba pesa nyingi fanya kila uwezalo Polisi wasijue

    Hawa Jamaa ni zaidi ya majambazi..kuna mshikaji wangu anafanya biashara za minadani..Huwa wanasafiri pamoja na kama unavyojua wakirejea Toka masokoni Huwa na vibunda vya kutosha .anasema Huwa wakikutana na askari usiku hudanganya wanatoka msibani ,la sivyo mnageuzwa kitega uchumi
  4. B

    Wewe ni shabiki wa Charlize Theron? Unakumbuka Majina aliyotumia kwenye Filamu zake?

    Mad max alitumia furiosa...na wanatoa film ya furiosa this year
  5. B

    Itatokea nini tukiamua tusilipe deni la Taifa Tsh Trilioni 100?

    Unatakiwa kufahamu..hakuna deni lisilo na collateral..kuna kitu lazima wamekiweka kama collateral ndio wakapewa hii mikopo..
  6. B

    Adidas yafanya mazungumzo na Kanye West kuhusu mauzo ya bidhaa zilizokwama kuuzika

    Hi hi ndio kitu Cha msingi kwenye maisha ya Sasa hivi..mfano mzuri wafanyakazi makazini..kuna ambao wakitaka kuondoka ,hr wanawaita mezani Wana counter offer...kuna wengine ukiagwa unaambiwa safari njema. Kuna wengine ukiagwa wanakuchukulia poa wanakuaga ila baada ya muda wanaona pengo lako...
  7. B

    Adidas yafanya mazungumzo na Kanye West kuhusu mauzo ya bidhaa zilizokwama kuuzika

    Ye namuelewa Sana..ameshajua kucheza na hwa maboya..aliona wanampiga akawatekenya wakajaa. Niambie ni nani tokea ulimwengu uumbwe alishawahi vunja mikataba na makampuni makubwa Bila ya kesi na kupotezwa. Jamaa ni genius na atawapeleka puta..ana confidence ya ajabu sijawahi ona
  8. B

    Dkt. Kimei akiona cha moto Rombo

    Milioni 18 huo ni mshahara wa mtu wa kawaida kwenye haya mabank...wakurugenzi wa hizi bank kubwa ..NMB .Crdb ,Nbc..wakurugenzi wao wanalipwa zaidi ya milioni 50
  9. B

    Kampuni ya Mabasi ya BM Wanahujumu Haki za Abiria

    Kaa kimya kuficha ujinga wako..magari yote yameandikwa..abiria chunga mzigo wako.we unafaulishwa ukaacha mzigo ulifikiri hiyo ndege utaukuta ndani..punguza uzembe mtoto wa kike
  10. B

    Diamond asema yeye na Zuchu ni dada na kaka

    Hawa watu Wana roho mbaya Sana...yaani hii story wanaileta kipindi mwenzao Katoa wimbo Ili kuzima trend. Hawa siku wasafi ikifikia ukubwa wa clouds wasanii wataumia Sana..hawa Jamaa hawana upendo kwa msanii yeyote wasiyenufaika nae .hawana Nia njema na bongo fleva... Hawataki msanii yeyote...
  11. B

    Kampuni ya Mabasi ya BM Wanahujumu Haki za Abiria

    Nadhani wewe ndio mzembe Wala usiwasingizie BM. Mwisho wa magari ni magufuli bus stand.wao kwa upendo wao wanawatafutia usafiri Hadi shekilango.kwa uzembe wako unasahau mzigo unasingizia kampani.shame on u.
  12. B

    Nimekuta Milioni 20 imewekwa kimakosa kwenye akaunti yangu

    Hujatumia akili hata kidogo. Hiyo Hela utailipa na inaweza kukusumbua.. Mara kadhaa wafanyakazi wa bank hufanya makosa kama hayo. Ila Kaa ukijua wakifanya reconciliation lazima watagundua tu. Maana kama umewekewe kimakosa Ina maana kuna mtu alipaswa kuwekewa kwa makosa ukawekewa wewe. Bora...
  13. B

    Mizimu, viapo, malipizi na matambiko bado vina nguvu sana Uchagani

    Huku mjini tumekuja kuchuma tu..tukifa mtuzike makwetu..unajua tatizo la Kilimanjaro ni uhaba wa ardhi..ndio maana hawauzi ardhi na wanakuwa wagumu kuwauzia wageni
  14. B

    Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

    Kwa utaratibu wa Moshi..gari linalobeba mwili wa marehemu ndilo linalobeba ndugu zake wa karibu..kama ni baba basi humo watapakia mke na watoto..kaka na madada ..yaani wa ndugu wa karibu Sana..so waona utakuwa ni msiba mkubwa kiasi gani..yaani ni ukoo umeondokewa na watu waote hao
  15. B

    Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

    Kaka sidhani kama ndivyo..ni uzembe tu wa madereva..Sisi wenyewe tuliwahi koswa na fuso mwaka Jana mwezi wa sita MITA kama hiyo tulikuwa tunamsafirisha mwili..pona yetu dereva wetu alikuwa yuko smart na anawafahamu vizuri madereva wa fuso..baada ya kuukwepa huo mtego nilimuuliza alijuaje...
Back
Top Bottom