Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,774
- 8,103
Weka picha au video mzee!!Uwongo wa hali ya juu![]()
Weka picha au video mzee!!Uwongo wa hali ya juu![]()
HATA MFANYAJE DR KIMEI NDIYE MBUNGE WA VUNJO NA ATAENDELEA NA UBUNGE HUO DAIMA, KUWEPO WATU AU KUTOKUWEPO KWA WATU KUSIKUHADAE, WATU WA VUNJO TUNAJUA TUNAFANYA NINI.Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu.
Huko Vunjo Dr. Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa, yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia! Noma sana!
Onyo: Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB.
Dr. Kimei sio Jamii za kuongea uongo mwingiii, huyu ni Jamii ya utendaji na utekelezaji wa ilani, sasa mnaopenda waongeaji maamuzi ni yenu, tu nacho hitaji ni utendaji, kuifufua upya Vunjo yetu kiuchumi, kuvutia vijana kupenda kilimo, pamoja na kupata bei safi na nzuri za mazao yetu, usalama na mengineyo!Dr. Kimei sio mwanasiasa mzuri, sijui ni nini kilimuingiza kwenye siasa. Hata kuongea kwake tu ni shida.
Very true amekaa CRDB miaka zaidi ya 15, as CEO na mshahara mkubwa na "wizi" hapo hapo, bado uroho wa madaraka anakwenda kuiba kura akisaidiwa na Maguyfuli, bladifaken
JF ni mbele kwa mbele kwa uzushi. Mijitu ya JF vichwa vyao ni HOUSING tu za Kutunzia MENO.Uwongo wa hali ya juu![]()
Mwandishi wa threads hii Hufahamu kuwa ROMBO na VUNJO ni sehemu mbili tofauti?, Kimei ni mbunge wa Vunjo, aliendaje kuutubia ROMBO huko kwa kina selasini wasiojitambua!Hapo kwenye wizi? Unaeza shed light aliiba nn? Wizi wa aina gani?
Kuhusu siasa ni kwamba alikuwa chaguo la jpm ili awe wazir baaadae but the sponsor akaondoka katikat na project ikafa. Unaachoon sasa hiv anajarib ku survive mwenyewe ,no bodu has his back
Kwa nafasi yake na kwa jadi ya waafrika akiwana CEO ie madaraka final, ni wezi! By default ........ni wezi, hata wewe na mimi tukipata nafasi ya kuiba tutaiba labda tuwew tumetokewa na Roho Mtakatifu! Mimi nina Roho Mtakatifu, sijui wewe!Hapo kwenye wizi? Unaeza shed light aliiba nn? Wizi wa aina gani?
Milioni 18 huo ni mshahara wa mtu wa kawaida kwenye haya mabank...wakurugenzi wa hizi bank kubwa ..NMB .Crdb ,Nbc..wakurugenzi wao wanalipwa zaidi ya milioni 50Uroho wa kishamba yaani unastaafu ukapewa gari ya million 800 ya kutembelea na hapo umetoka kwny salary ya zaidi ya 18m kwa mwezi then unarudi kupigania salary ya 12m plus uchawi na husuda kibao...
Tamaa mbaya ,
Dr. Kimei sio Jamii za kuongea uongo mwingiii, huyu ni Jamii ya utendaji na utekelezaji wa ilani, sasa mnaopenda waongeaji maamuzi ni yenu, tu nacho hitaji ni utendaji, kuifufua upya Vunjo yetu kiuchumi, kuvutia vijana kupenda kilimo, pamoja na kupata bei safi na nzuri za mazao yetu, usalama na mengineyo!
Nimekuelewa mkuu, juu ya nini unapendelea - (unapendelea wapanga hoja)Umeongea kama meneja wa kampeni wa Dr. Kimei.
Mimi nimeongea kuhusu siasa, siasa inahitaji mwanasiasa mzuri, siasa inahitaji muongeaji mzuri. Siasa inahitaji mtu anayejua kupangilia hoja na kuziwasilisha vizuri.
Sasa wewe umekuja na mambo ya utendaji mzuri, kwani nani asiyefahamu Dr. Kimei ni mtendaji mzuri? Au unadhani wakati anaifanya CRDB kuwa Bank ya maana sisi tulikuwa tumekufa ndio tumefufuka leo yeye akiwa mbunge?
Acha kuherehere!
Mganga wa Mwigulu yule mwenye ziwa moja ni kiboko sana.Alifuata uwaziri wa fedha, Mwigulu akamzidi kete...
Tuwekee ukweli tukumwagie like za kutoshaUwongo wa hali ya juu![]()
Sijuj alikuwa anaiongoza VIP bank hyo ya crdb kwa jins tu anavyozungumzaDr. Kimei sio mwanasiasa mzuri, sijui ni nini kilimuingiza kwenye siasa. Hata kuongea kwake tu ni shida.
Mkutano Rombo, mbona mnafiki.Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu.
Huko Vunjo Dr. Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa, yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia! Noma sana!
Onyo: Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB.
Bab ,bib na we umeongeza chumvi Sana gari la milinion Mia 800Uroho wa kishamba yaani unastaafu ukapewa gari ya million 800 ya kutembelea na hapo umetoka kwny salary ya zaidi ya 18m kwa mwezi then unarudi kupigania salary ya 12m plus uchawi na husuda kibao...
Tamaa mbaya ,
liko VIP Hilo gari Mbna mm niliona gari lake lenye dhamni ya milion 270 mkuu Hamna picha?Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu.
Huko Vunjo Dr. Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa, yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia! Noma sana!
Onyo: Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB.
Mikutano ya siasa achia chademaTulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu.
Huko Vunjo Dr. Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa, yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia! Noma sana!
Onyo: Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB.