Recent content by babascarret

  1. babascarret

    Tangazo la Wekeza la Tigo

    Jaman naomben munieleweshe kdogo maana mm celewi kitu kuhusu wekeza
  2. babascarret

    Ajira za uhamiaji zilizolalamikiwa zafutwa, mchakato kuanza upya

    Wadau naomba kuuliza hizi nafasi za uhamiaji zilizotangazwa upya, zimewekwa wapi mbona kwenye wepsite ya hazipo? Msaada wadau namna ya kuziomba.
  3. babascarret

    Scrub na massage havinitesi tena

    Fafanua sasa kipi kimekufanya uccmamishe tena?
  4. babascarret

    Kero hospitali za serikali

    Hospital za serikali ni kero kubwa sana kwa watumiaji. Toka saa moja asubuhi mpaka saizi hakuna dalili za kumuona daktari its so bad guyz
  5. babascarret

    Mdahalo wa Mwl.Nyerere foundation kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Ubungo Plaza

    Km wanania ya dhati kwa nn wafunge tovuti ya tume!?
  6. babascarret

    Uganda yafuta sheria iliyokuwa inapinga ndoa za jinsia moja

    Tufafanulien mm mwenyewe nimeiyona ila cjaipata vizur
  7. babascarret

    Katiba mpya na maoni ya wananchi

    Hana jpya nonsense
  8. babascarret

    Katiba mpya

    Mr president amesema UKAWA wametoka bungeni kwa sababu hawajaona maslai yao thus means ccm wameyaona maslai yao ndio maana wanang'ang'ania serikal mbili. Kazi ipo
  9. babascarret

    CCM Ni Dhaifu Sana Kisiasa, Imebaki Jina tu

    I hate ccm na viongozi wake
Back
Top Bottom